Ha hah ha ha pole sana mie baada ya form six nkasema physics mie na wewe uhusiano wetu unaishia hapa tutaona MajaliwaMie nilikomaa nayo mpaka mwisho nikabahatika na E japo siamini sana kama yalikua matokeo yangu maana nilitegemea 0
Mi mwenyewe form six ikawa bye bye na chuo nikasoma vitu vingine kabisa. Japo I regret kwanini sikwenda kusoma hata Civil engineering ila ndo basi tena.Ha hah ha ha pole sana mie baada ya form six nkasema physics mie na wewe uhusiano wetu unaishia hapa tutaona Majaliwa
Aisee,Mi mwenyewe form six ikawa bye bye na chuo nikasoma vitu vingine kabisa. Japo I regret kwanini sikwenda kusoma hata Civil engineering ila ndo basi tena.
Ha ha ha for my side am not regretting ki ukwel fact that am happy with what i went to per sue in univ tho nikiwaona pilots nataman, Revenge yangu ikawa lazma niwe abiria wao mara kwa maraMi mwenyewe form six ikawa bye bye na chuo nikasoma vitu vingine kabisa. Japo I regret kwanini sikwenda kusoma hata Civil engineering ila ndo basi tena.
A level ulisoma Physics?Hivi kumbe kulikua na topic ya measurements and error kwenye Physics. Ama kweli nilikua nasomea pepa.
Nilishapoa mkuu japo najutaAisee,
Pole sana!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ha ha ha for my side am not regretting ki ukwel fact that am happy with what i went to per sue in univ tho nikiwaona pilots nataman, Revenge yangu ikawa lazma niwe abiria wao mara kwa mara
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Nilishapoa mkuu japo najuta
Ulisomaga physics???Umeitaja hapa ndo nimekumbuka topic ya kwanza kabisa hiyo kufundishwa.
PCMUlisomaga physics???
Asante mkuu.[emoji3] [emoji3] [emoji3]
Na ndio maana nakupa pole...Mambo iko huku kwa C.Eng
Duuh! Wewe noma aisei mimi niliacha form two baada ya kupata A, bila kusoma nikaona masomo ya watu wasiofikiria vyema zaidi ya kukariri..!
Hahaaa Mkuu hiyo Revenge safi sana.Ha ha ha for my side am not regretting ki ukwel fact that am happy with what i went to per sue in univ tho nikiwaona pilots nataman, Revenge yangu ikawa lazma niwe abiria wao mara kwa mara