Advance Physics ilivyokuwa inatugeuka ndani ya chumba cha mtihani

Advance Physics ilivyokuwa inatugeuka ndani ya chumba cha mtihani

Nijilinganishe nione tulikuaje,maanake unaweza kuwa kibabu au mdogo wangu, ukiweka mwaka naweza kukutajia watabe wa physics pale mchikichi miaka hiyo
Mbona hata hapo mada haijakuzuia kutaja.Wengine wmemtaja hata kazibure ambaye huenda humjui kabisa.Wee taja tu unavyojisikia maana humu JF hatujiweki wazi kuhofia usalama wetu.Ukiona huwezi kuwa tu msomaji sio mbaya
 
Mbona hata hapo mada haijakuzuia kutaja.Wengine wmemtaja hata kazibure ambaye huenda humjui kabisa.Wee taja tu unavyojisikia maana humu JF hatujiweki wazi kuhofia usalama wetu.Ukiona huwezi kuwa tu msomaji sio mbaya
Mi nilikua mchikichi miaka ya 2004 Mkuu, haaaaah haaaaah watu waoga kinyama
 
Good sana man tuelezee kidogo kwanza Physics ilivyokufanya kwa baadhi ya mitihani
Acha tu mwana, elimu ya a level sitaisahau I have a lot to say lakini mi mvivu wa kuandika na saiv asbh siku ndo imeanza
 
But in short now I am a doctor
Miandiko yenu inatupa shida sana wengine, muwe mnaandika vizuri bana maandishi yasomeke.

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Nipitia diploma ya laboratory science, nikaukuta mziki wa electronic, magnetism , course zote hizi nilidondoka kwenye makarai tu.

Japo physics nilikuwa naipenda.
 
Mimi mdudu ambaye nilkuwa siupendi mpaka leo ni biology, naichukia sana
 
Hahaaaa ,basi mama akikutambulisha unajiskia vzr mwenyewe, unatamani aulizwe VP matokeo ya binti yako ?[emoji1] [emoji1] [emoji1] kufaulu kuna raha yake jamani

Daaaah acha kabisa ..... Na hela unapewa,kitafrija kidogo.
 
Sikua nawakimbiza ila walikua wanajua nitadisco semester ya kwanza. Wakashangaa kundi langu kila semester anarudia mwaka mtu au anadisco. Ila mimi kwenye sup sionekani. Mwaka wa tatu nikapata sup ya auditing ila tulipata karibia 80% ya class.

Babe genius .......
Ila chuo nilikuwa nashangaa kuna watu waliendeleza msuli wa sec cha ajabu kwenye sup tulikuwa wote [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
 
Tatizo moja kubwa la physics unapoanza form 5 iko very interesting na unaiona A ya Necta inakuja. Kimbembe kinaanza kwenye maswali, unakuta umepewa data zisizohusiana na formula yoyote Kumbe ulitakiwa uzidishe area na length upate volume. Halafu hiyo volume uzidishe na density upate mass. Halafu hiyo mass uzidishe na acceleration upate Force ndio ukamilishe data za kufanya swali lako. Yaani hizo mbwembwe zote ila swali bado hujajibu na lina marks 3.

Nilikua na daftari nimeliwekea cover ya derivation ya Benourli principle ili niwe naiona mara kwa mara. Ila Ile biot savart Law ilinishinda kabisa kila nikisoma haipiti wiki nimesahau. Nilikua na topic zangu za ushindi, wave 1, electronics, modern, heat, current. Lakini maswali yalotolewa na NECTA nilikua siyajui kama sikusoma kitu vile. Nikaona ni miujiza tu itafanya nifaulu physics

Vifaa vya lab navyo ni majanga tu. limetre bridge linadeflect upande mmoja, nikianza upya bado linafanya vilevile. Msimamizi anasema endelea tu. Nikasema isiwe tabu nikawa naangalia data za mtu wa mbele na wa nyuma naweka average.

Tuacheni utani wanaopata mabanda ya physics ni kwa sababu wanasoma sana na kusolve sana maswali. Kupata swali la physics ambalo hujawahi kuliona sehemu ni sawa na ngamia kupita kwenye tundu la sindano.

Ilinichukua muda kuyaamini matokeo yangu ya form 6 baada ya kupata marks ambazo sikutegemea kabisa kupata kwenye physics. nakumbuka nilihakikisha namba zaidi ya mara tatu ndio nikakubali kweli ni mimi niliyepata lile karai. Niliweka sherehe
 
Projectile likikukuta swali la kuderive utaeleza, bora ya kutafuta height na range.
kawaida mkuu, ila watu tulimeza maswali ya kwenye vitabu, kuandia nelkon, chand, rogers, vipam sasa vya muddy na mgote pitia vyote na kukalili majibu yani ilikuwa ni keteleza tu, japo ndio hivyo namba za viatu kwenye pepa hatukuzikwepa
 
Mimi nilisoma physics ,nikakutana na Mwalimu mmoja , ni shida aisee ,projectile alivyoifundisha alinishangaza enzi hizo tena mzungu , Alikuja na chungwa Moja

Akafuta ubao , akandika the topic of Today is Projectile Motion

Alichofanya akachukua lile chungwa akalirusha juu likachora Trajectory , lilipotua chini akasema topic imeisha akabeba makabrasha yake akaondoka ,

Siku iliyofuata akasema kama umekuja na A ya kuibia utaondoka na zero

Ha ha ha
 
Ningekuwa sijapata mke hapa ilikuwa sehemu sahihi, maana pure art ningeokota pure science basi tungezaa jiniasi lazima.

Good things nimeisha jiopolea computer science anatosha!
 
MAANA YA SHULE NI ADVANCED PHYSICS ILIKUWA INAFIKA WAKATI NAJIULIZA HILI SOMO MTAALA UMEKOSEWA NINI

MAANA KUNA ZILE PRAC ZA HEAT UNATAKIWA UFANYE VITU VINGI SANA KWA WAKATI MMOJA SIJUI USOME STOP WATCH WAKATI HUO HUO THERMOMETER WAKATI HUO HUO UFANYE COOLING WAKATI HUO HUO URECORD DATA



DAH JAMANI JAMANI PHYSICS ADVANCE AISEE

OLD MOSHI PALE KULIKUWA NA KATILI WA MECHANICS P. DIDDY
 
Back
Top Bottom