Kagame hawezi kuthubutu kumgusa Mzee wa Msoga..atakatwa shingo asubuhi kweupe.Sio kwa mjomba Kagame,nawajua sana RPF na mentality zao.Waga wanasettle tofauti usoni tu.Museveni anawajua vizuri sababu walichomfanyia hatawasahau wanyarwandwa wale na kosa lake ilikua ni kuwaamini na kuwapa idara nyeti kwenye serikali yake.
Kumbe kuna watu wanaitamani Dsm na Tz kwa ujumla??!!!.Walikuja wa kawaida ila tuliongea tuu kirafiki wao walisema pia sitakiwi kwenda kujichanganya kwenye nyumba za raia kutokana na hili gonjwa maana wanasema unaweza ukapa pisi ikakwambia mwende nyumbani kwao nikasema pisi itakuja hapa maana naweza kusema nimepata pisi kumbe ndio nyie nyie tena...ila wanaipenda Daslm kuliko majiji mengi wakisikia umetoka Tanzania wanatamani uwalete daslm..
Alijaribu kipindi hichoKagame hawezi kuthubutu kumgusa Mzee wa Msoga..atakatwa shingo asubuhi kweupe.
Yeah hasa watu wa UG,BR,KY,ZMB,DRC,RWND.Kumbe kuna watu wanaitamani Dsm na Tz kwa ujumla??!!!.
Bongo kutamu🤣🤣🤣Tunaishi kiroho safi pamoja na matatizo yetuKumbe kuna watu wanaitamani Dsm na Tz kwa ujumla??!!!.
Sio kidogo Mkuu niliwahi mpa ramani Mzimbabwe jinsi ya kusafiri na sehemu za kufikia Kariakoo ananishukuru sana...pamoja na Wazambia kuja kupokea gari zao wengi walikua wanaishia Tunduma harafu wanatumia Agent muda mwingi gari zao zinapata ajali kwa kupewa madereva wa bei ndogo ikabidi waanze wenyewe kufata daslm..Kumbe kuna watu wanaitamani Dsm na Tz kwa ujumla??!!!.
Hata hivyo daslm ni nyepesi kwa wageni...Kwa sababu ya bongofleva...
Wao wanajua Dar ni kama video za Diamond na Harmonize...bata mwanzo mwisho na maisha mepesi sana
Nyepesi kivipi?Hata hivyo daslm ni nyepesi kwa wageni...
Si hawa Wanigeria wanaouza nywere na vitu vya simu wanafanya vizuri kwa sababu wanapewa mzigo kutoka kwa ndugu zao waliopo China na SA...Watanzania wengi hawana taarifa ya sehemu za kupata mizigo kwa mali kauli...Nyepesi kivipi?
Mule mule, ukimwita chery aaah tabasamu lote unapewaAmakuru, nimeza cyane, ndagukunda chery wanjye, ukiiambia hivo pisi ya rwanda inoloa kabisa
Hilo dili ungenipa mimi 🤣🤣🤣Nina apartment,s kibao tu hazina watu.Sio kidogo Mkuu niliwahi mpa ramani Mzimbabwe jinsi ya kusafiri na sehemu za kufikia Kariakoo ananishukuru sana...pamoja na Wazambia kuja kupokea gari zao wengi walikua wanaishia Tunduma harafu wanatumia Agent muda mwingi gari zao zinapata ajali kwa kupewa madereva wa bei ndogo ikabidi waanze wenyewe kufata daslm..
Mkuu ebu nisaidie,kuna sheli na chery??????Sasa ipi ni sahii kwa lugha ya kifaransa?????Au zote zinamaanisha same thing???Mule mule, ukimwita chery aaah tabasamu lote unapewa
Hilo sahii mkuu,wabongo wengi hawajui machimbo ya kuchukua item,s either kwa bei chee au mali kauli.Tunaishia kuona biashara ngumu,ila vilevile sisi ndio wahanga wakubwa wa kutapeliwa na hawa watu wa afrika magharibi tukiwa ughaibuni.Si hawa Wanigeria wanaouza nywere na vitu vya simu wanafanya vizuri kwa sababu wanapewa mzigo kutoka kwa ndugu zao waliopo China na SA...Watanzania wengi hawana taarifa ya sehemu za kupata mizigo kwa mali kauli...
Maisha yapo chini,sio very expensive in everythingNyepesi kivipi?
Maisha ni rahisi DSM,nakuunga mkono mkuuHata hivyo daslm ni nyepesi kwa wageni...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na wewe badala ya kulalamika nenda kapambane naye umpindue uchukue madaraka , uyarudishe haya makundi
kama unawashwa
Duuh inatia simanzii [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Niliwahi kuishi na wahanga wa vurgu za 1994 Mgusu Geita pale,walikuwa vijana wawili lkn 1994 bado walikuwa watoto wa kati ya 10-13, walikuwa wakisimulia namna walivyochomoka mpaka kuja TZ inastaajabisha sana.
Jamaa anasema alikuwa akitoka kitaa,kufika nyumbani anaona kuna watu wame wazingira wazazi wake,akajificha kichakani huku akichungulia.
Wakamuamlu mama yake amtwange mtoto aliye mgongoni,mama akawa na kigugumizi.
Wakawaingiza na kuipiga nyumba kiberiti [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Jamaa aliniambia baada ya kuona vile akakimbia kusiko julikana,ghafla akakuta kuna miili miingi lkn akagundua kuwa wauaji bado wako jirani,akajichanganya humohumo na yeye.
Na kweli,wauaji walikuja kukagua baadae wakasepa. Dogo baadae akachanja mbuga bila kujua anaelekea wapi,ndipo njiani akakutana na makundi ya wahanga wengine,naye akaunga tela mpaka TZ. Hajui nini kiliendelea kwa wazazi wake wala nduguze.
Haya mambo ya vita tuyaepuke sana.
Wangejua sasa, akati sisi tunataman kwenda kwaoKwa sababu ya bongofleva...
Wao wanajua Dar ni kama video za Diamond na Harmonize...bata mwanzo mwisho na maisha mepesi sana