Panya Road wa 73 years?Itakua walimhisi mzee Ni Panya Road senior.
Mpe mwenzio mbinu....mimi bado natafuta hela ya kuUnanikumbusha afande mwahija pale moro
Watoto wa moro walichomfanyia mhhhh
Unanikumbusha afande mwahija pale moro
Watoto wa moro walichomfanyia mhhhh
Hujaona neno senior mkuuu?Panya Road wa 73 years?
Senior sio umri, ni ukuu.Hujaona neno senior mkuuu?
Huyo mzee muiga hakupaswa kukubali bora angemruhusubampige kama angetaka.Afande Mecky, mwembamba mrefu na mweupe, ulikuwa bodyguard wa RPC, juzi umemusha babu yangu kichura na umri wake wa miaka 73.
Mzee sasa anaumwa na hawezi hata kwenda kujisaidia haja ndogo.
Sababu ya mateso yote hayo eti kapita kwenye nyumba za polisi.
Sisi mambo ya shirki hatuna na hatuyajui, ila tunaamini kwenye kitu kimoja tu, mwana kulitafuta mwana kulipata.
Kitakachokupata itakuwa gumzo kwa polisi wenzako wasio na adabu hata kwa watu wenye umri wa babu zao.
Huna hoja.Wakipita kambi za JW wakirushwa kichura,hampigi kelele,wakipita kambi za polisi na kurushwa kichura,kelele zinaanza.
Je wafanyaje?
Kuishi nao uraiani,kusiwafanye mkawazoea sana.Ni askari hao.