Afande Meki wa Oyster Bay Polisi, kwa kumrusha kichura babu yangu (73) lazima upatwe na la kukupata

Afande Meki wa Oyster Bay Polisi, kwa kumrusha kichura babu yangu (73) lazima upatwe na la kukupata

Wakipita kambi za JW wakirushwa kichura,hampigi kelele,wakipita kambi za polisi na kurushwa kichura,kelele zinaanza.
Je wafanyaje?
Kuishi nao uraiani,kusiwafanye mkawazoea sana.Ni askari hao.
Wee keng.e huo u askari gan wa kufanya upumbavu afu jw hawana hizo pigo za kipumbavu kudhalilisha wazee
 
Wanaoishi Hapo O'bey wajaribu kufatilia afande atakuwaje kuwaje kwa siku za hv Karbuni
 
Afande Mecky, mwembamba mrefu na mweupe, ulikuwa bodyguard wa RPC, juzi umemusha babu yangu kichura na umri wake wa miaka 73.

Mzee sasa anaumwa na hawezi hata kwenda kujisaidia haja ndogo.

Sababu ya mateso yote hayo eti kapita kwenye nyumba za polisi.

Sisi mambo ya shirki hatuna na hatuyajui, ila tunaamini kwenye kitu kimoja tu, mwana kulitafuta mwana kulipata.

Kitakachokupata itakuwa gumzo kwa polisi wenzako wasio na adabu hata kwa watu wenye umri wa babu zao.
Ni mwezi sasa umepita,vipi hali ya Babu.
Afande umemnyorosha?
 
Wakipita kambi za JW wakirushwa kichura,hampigi kelele,wakipita kambi za polisi na kurushwa kichura,kelele zinaanza.
Je wafanyaje?
Kuishi nao uraiani,kusiwafanye mkawazoea sana.Ni askari hao.
Kwani askari ni Mungu?? Mbona full kukopa pesa kwa raia?? Tanzania hakuna modern policing..
 
Back
Top Bottom