kichakaa man
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 5,500
- 5,164
Wee keng.e huo u askari gan wa kufanya upumbavu afu jw hawana hizo pigo za kipumbavu kudhalilisha wazeeWakipita kambi za JW wakirushwa kichura,hampigi kelele,wakipita kambi za polisi na kurushwa kichura,kelele zinaanza.
Je wafanyaje?
Kuishi nao uraiani,kusiwafanye mkawazoea sana.Ni askari hao.