Afande Meki wa Oyster Bay Polisi, kwa kumrusha kichura babu yangu (73) lazima upatwe na la kukupata

Afande Meki wa Oyster Bay Polisi, kwa kumrusha kichura babu yangu (73) lazima upatwe na la kukupata

Afande Mecky, mwembamba mrefu na mweupe, ulikuwa bodyguard wa RPC, juzi umemusha babu yangu kichura na umri wake wa miaka 73.

Mzee sasa anaumwa na hawezi hata kwenda kujisaidia haja ndogo.

Sababu ya mateso yote hayo eti kapita kwenye nyumba za polisi.

Sisi mambo ya shirki hatuna na hatuyajui, ila tunaamini kwenye kitu kimoja tu, mwana kulitafuta mwana kulipata.

Kitakachokupata itakuwa gumzo kwa polisi wenzako wasio na adabu hata kwa watu wenye umri wa babu zao.
Hahaha, eti Mambo ya shirki
 
Wakipita kambi za JW wakirushwa kichura,hampigi kelele,wakipita kambi za polisi na kurushwa kichura,kelele zinaanza.
Je wafanyaje?
Kuishi nao uraiani,kusiwafanye mkawazoea sana.Ni askari hao.
Sawa mna haki,lakini aangalieni na umri wa Mtu! Wazee wapewe heshima yao! Kwani kukatiza hapo kwenu ni kosa la Jinai!!??

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Afande Mecky, mwembamba mrefu na mweupe, ulikuwa bodyguard wa RPC, juzi umemusha babu yangu kichura na umri wake wa miaka 73.

Mzee sasa anaumwa na hawezi hata kwenda kujisaidia haja ndogo.

Sababu ya mateso yote hayo eti kapita kwenye nyumba za polisi.

Sisi mambo ya shirki hatuna na hatuyajui, ila tunaamini kwenye kitu kimoja tu, mwana kulitafuta mwana kulipata.

Kitakachokupata itakuwa gumzo kwa polisi wenzako wasio na adabu hata kwa watu wenye umri wa babu zao.
Kwa hiyo umekuja kumtishia uchawi huku JF.Kweli Tanzania ya pili kwa Imani ya ushirikina.Nikwambie kitu.Kama ana Imani isiyo haba ,huna uwezo huo wa kumfanya chochote.Alikuwa anatekeleza majukumu yake.
 
mzee wako kazid anavizia wa2 awapo anaenda kufanya mazoez ya viungo na wake wa polizi
 
Wakipita kambi za JW wakirushwa kichura,hampigi kelele,wakipita kambi za polisi na kurushwa kichura,kelele zinaanza.
Je wafanyaje?
Kuishi nao uraiani,kusiwafanye mkawazoea sana.Ni askari hao.
Bila kutoa mfano wabongo hawaelewi somo
 
Kila mtu ana imani yake.

Ila kwa polisi ama wanajeshi hizo imani hawaziogopi maana training zao askari huwa wanaelekezwa ujanja ujanja unaotumika katika hizo imani potofu za kusadikika
Natamani uelimike kuhusu upande wa pili wa dunia
 
Wakipita kambi za JW wakirushwa kichura,hampigi kelele,wakipita kambi za polisi na kurushwa kichura,kelele zinaanza.
Je wafanyaje?
Kuishi nao uraiani,kusiwafanye mkawazoea sana.Ni askari hao.
Nijinga pekee na mshamba na limbukeni anaye amini kwamba askari polisi anatakiwa kuogopwa kama jinamizi , nakumbuka mwaka 98 niliwahi kutandika makofi dogo mmoja askari polisi baada ya kutaka kujifanya mbabe kwenye haki yangu halafu akiwa nje ya sare ya kazi na baada ya hapo nikatangulia mwenyewe kwa OCS kumpa taarifa amkanye kijana wake. Na aliniheshimu kuanzia hapo,

askari wengi tanzania wana akili ndogo sana na reasoning yao ni ndogo sana wao wanaamini ni kutumia ubabe kwa kila jambo, nadhan ni namna recruitment yao inavyo fanyika huwa wanajiona wapo juu ya sheria wao ni watu special sana na wakuogopwa wakati wapuuzi fulani hivi..
 
Huyo Ni wa KUROGA. kabisa,baba yangu ana miaka 70 Ila ninavyomchukulia sitaki hata ang'atwe na mmbu,halafu poyoyo mmoja ndio amrushe kichura!Hapana kwa kweli
 
Afande Mecky, mwembamba mrefu na mweupe, ulikuwa bodyguard wa RPC, juzi umemusha babu yangu kichura na umri wake wa miaka 73.

Mzee sasa anaumwa na hawezi hata kwenda kujisaidia haja ndogo.

Sababu ya mateso yote hayo eti kapita kwenye nyumba za polisi.

Sisi mambo ya shirki hatuna na hatuyajui, ila tunaamini kwenye kitu kimoja tu, mwana kulitafuta mwana kulipata.

Kitakachokupata itakuwa gumzo kwa polisi wenzako wasio na adabu hata kwa watu wenye umri wa babu zao.
Poleni sana
 
Afande Mecky, mwembamba mrefu na mweupe, ulikuwa bodyguard wa RPC, juzi umemusha babu yangu kichura na umri wake wa miaka 73.

Mzee sasa anaumwa na hawezi hata kwenda kujisaidia haja ndogo.

Sababu ya mateso yote hayo eti kapita kwenye nyumba za polisi.

Sisi mambo ya shirki hatuna na hatuyajui, ila tunaamini kwenye kitu kimoja tu, mwana kulitafuta mwana kulipata.

Kitakachokupata itakuwa gumzo kwa polisi wenzako wasio na adabu hata kwa watu wenye umri wa babu zao.
Poleni sana
 
Afande Mecky, mwembamba mrefu na mweupe, ulikuwa bodyguard wa RPC, juzi umemusha babu yangu kichura na umri wake wa miaka 73.

Mzee sasa anaumwa na hawezi hata kwenda kujisaidia haja ndogo.

Sababu ya mateso yote hayo eti kapita kwenye nyumba za polisi.

Sisi mambo ya shirki hatuna na hatuyajui, ila tunaamini kwenye kitu kimoja tu, mwana kulitafuta mwana kulipata.

Kitakachokupata itakuwa gumzo kwa polisi wenzako wasio na adabu hata kwa watu wenye umri wa babu zao.
Poleni sana
Unaliwa na mapopo.Lameck unamjua vizuri kweli! Kwanza polisi wa TZ apigwi kifala tu.Uongo wako kamwambie mama yako.
Lameck punguza hasira,
 
Mtupie jini mkata kamba huyo atembelee magoti.Ili apate adabu siku nyingine.
 
Back
Top Bottom