Afande Meki wa Oyster Bay Polisi, kwa kumrusha kichura babu yangu (73) lazima upatwe na la kukupata

Afande Meki wa Oyster Bay Polisi, kwa kumrusha kichura babu yangu (73) lazima upatwe na la kukupata

mbona nchi nyingi unapita ikulu hafanywi chochote unapita makambini hufanywi chochote ila tanzania tuau east africa tu
 
Aiseee amefanya kosa kubwa sana kumpa pinchi mzee wa 73 ,Kupita kwenye vibanda vyao pale oysterbay ni kosa? Ebu muonyesha "ADIVATAIZI" iwe funzo kwa mambwiga wenzao.
 
Afande Mecky, mwembamba mrefu na mweupe, ulikuwa bodyguard wa RPC, juzi umemusha babu yangu kichura na umri wake wa miaka 73.

Mzee sasa anaumwa na hawezi hata kwenda kujisaidia haja ndogo.

Sababu ya mateso yote hayo eti kapita kwenye nyumba za polisi.

Sisi mambo ya shirki hatuna na hatuyajui, ila tunaamini kwenye kitu kimoja tu, mwana kulitafuta mwana kulipata.

Kitakachokupata itakuwa gumzo kwa polisi wenzako wasio na adabu hata kwa watu wenye umri wa babu zao.
Nawe umeachwa? Maana mabinti humu mkiachwa mnakuwa busy na JF! Mkipata mnapotea kama akina Mzigua90 etc
 
Juzi kamsimamisha bro wangu, akamwambia achuchumae, bro akagoma, akamvaa mwilini, bro akamchapa makofi, akaita wenzake, wenzake wakampuuza tu, wakamwambia achana naye, alichofanikiwa ni kukata vifungo viwili vya shati la bro
Ebu nielekeze kesho nikatishe kupita pale nione atanifanya Nini huyo kijana, huyo Hana adabu jeshi halimfai kabisa
 
Unaliwa na mapopo.Lameck unamjua vizuri kweli! Kwanza polisi wa TZ apigwi kifala tu.Uongo wako kamwambie mama yako.
Wewe ndio lameck mwenyewe nini mkuu ?unasoma ramani ya vita hapa,maana si kwa kupanic huko!
 
Afande Mecky, mwembamba mrefu na mweupe, ulikuwa bodyguard wa RPC, juzi umemusha babu yangu kichura na umri wake wa miaka 73.

Mzee sasa anaumwa na hawezi hata kwenda kujisaidia haja ndogo.

Sababu ya mateso yote hayo eti kapita kwenye nyumba za polisi.

Sisi mambo ya shirki hatuna na hatuyajui, ila tunaamini kwenye kitu kimoja tu, mwana kulitafuta mwana kulipata.

Kitakachokupata itakuwa gumzo kwa polisi wenzako wasio na adabu hata kwa watu wenye umri wa babu zao.
Police ni wachafuu sana ukipita maeneo yao utajua akili zao ni ndogo, hawajui mipango wala usafi. Wanaona aibu ukipita karibu
 
Back
Top Bottom