Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli Sana wanajificha kwenye uzalendo uchwa uchwara tu wa yule shetani!!Polisi wengi walipata four na zero
Nawe umeachwa? Maana mabinti humu mkiachwa mnakuwa busy na JF! Mkipata mnapotea kama akina Mzigua90 etcAfande Mecky, mwembamba mrefu na mweupe, ulikuwa bodyguard wa RPC, juzi umemusha babu yangu kichura na umri wake wa miaka 73.
Mzee sasa anaumwa na hawezi hata kwenda kujisaidia haja ndogo.
Sababu ya mateso yote hayo eti kapita kwenye nyumba za polisi.
Sisi mambo ya shirki hatuna na hatuyajui, ila tunaamini kwenye kitu kimoja tu, mwana kulitafuta mwana kulipata.
Kitakachokupata itakuwa gumzo kwa polisi wenzako wasio na adabu hata kwa watu wenye umri wa babu zao.
@maathai wangareNawe umeachwa? Maana mabinti humu mkiachwa mnakuwa busy na JF! Mkipata mnapotea kama akina Mzigua90 etc
Huyu aliumbuliwa hapa JF; hata Mie nilidhani ni academician mwenzetu kumbe dangaji tu@maathai wangare
Wangari MaathaiNawe umeachwa? Maana mabinti humu mkiachwa mnakuwa busy na JF! Mkipata mnapotea kama akina Mzigua90 etc
Ebu nielekeze kesho nikatishe kupita pale nione atanifanya Nini huyo kijana, huyo Hana adabu jeshi halimfai kabisaJuzi kamsimamisha bro wangu, akamwambia achuchumae, bro akagoma, akamvaa mwilini, bro akamchapa makofi, akaita wenzake, wenzake wakampuuza tu, wakamwambia achana naye, alichofanikiwa ni kukata vifungo viwili vya shati la bro
Ilikuwaje? Namfahamu halafuHuyu aliumbuliwa hapa JF; hata Mie nilidhani ni academician mwenzetu kumbe dangaji tu
Huogopi kuteswa Mnyakyusa uchwara?Ebu nielekeze kesho nikatishe kupita pale nione atanifanya Nini huyo kijana, huyo Hana adabu jeshi halimfai kabisa
Aliomba hela ya uji wa mtoto aliozaa na njemba nyingine!Ilikuwaje? Namfahamu halafu
DuhAliomba hela ya uji wa mtoto aliozaa na njemba nyingine!
Hata huyu mleta uzi alikuwa anasoma nje baadaye ati anafuga mamba Bagamoyo, ni vituko tu
Mmh,ona hili jinga naloUnaliwa na mapopo.Lameck unamjua vizuri kweli! Kwanza polisi wa TZ apigwi kifala tu.Uongo wako kamwambie mama yako.
Wapi huko mkuu? Hamna picha yake tumuoneHuyu boya anaishi police line
Wewe ndio lameck mwenyewe nini mkuu ?unasoma ramani ya vita hapa,maana si kwa kupanic huko!Unaliwa na mapopo.Lameck unamjua vizuri kweli! Kwanza polisi wa TZ apigwi kifala tu.Uongo wako kamwambie mama yako.
Police ni wachafuu sana ukipita maeneo yao utajua akili zao ni ndogo, hawajui mipango wala usafi. Wanaona aibu ukipita karibuAfande Mecky, mwembamba mrefu na mweupe, ulikuwa bodyguard wa RPC, juzi umemusha babu yangu kichura na umri wake wa miaka 73.
Mzee sasa anaumwa na hawezi hata kwenda kujisaidia haja ndogo.
Sababu ya mateso yote hayo eti kapita kwenye nyumba za polisi.
Sisi mambo ya shirki hatuna na hatuyajui, ila tunaamini kwenye kitu kimoja tu, mwana kulitafuta mwana kulipata.
Kitakachokupata itakuwa gumzo kwa polisi wenzako wasio na adabu hata kwa watu wenye umri wa babu zao.