Jemima Mrembo
JF-Expert Member
- Jul 19, 2021
- 2,864
- 8,328
Haha hahaha😂😂Mnyakyusa uchwara, we mnyalu huna adabu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haha hahaha😂😂Mnyakyusa uchwara, we mnyalu huna adabu
Mji mzito huuUhuru umezidi mfanyeni dagaa akili imkae sawa [emoji23]
Amepita kambi ya polisi au quarter?Wakipita kambi za JW wakirushwa kichura,hampigi kelele,wakipita kambi za polisi na kurushwa kichura,kelele zinaanza.
Je wafanyaje?
Kuishi nao uraiani,kusiwafanye mkawazoea sana.Ni askari hao.
Mkuu uchawi upo na ndio maana likawepo hilo neno uchawi.Polisi na wanajeshi hawatishiki kwa uchawi.
Sababu wanajua ukweli kwamba uchawi ni haupo. Hauna madhara yoyote
Uchawi ni hadithi za kusadikika na kufikirika tu.
Kama bado naweza toa msaada tutaniHuyu lazima ataisoma namba
Lakini ndio wanakulinda wewe uliyejificha nyuma ya keyboard kuwadhihakiPolisi wengi walipata four na zero
Ni kazi ya laana ,inamalamiko mengi sana,wakistaafu wanakiwa kama vichaaWakipita kambi za JW wakirushwa kichura,hampigi kelele,wakipita kambi za polisi na kurushwa kichura,kelele zinaanza.
Je wafanyaje?
Kuishi nao uraiani,kusiwafanye mkawazoea sana.Ni askari hao.
Upumbavu gani unaandika? Sheria gani inampa mamlaka mwanajeshi kurusha raia kichura?Wakipita kambi za JW wakirushwa kichura,hampigi kelele,wakipita kambi za polisi na kurushwa kichura,kelele zinaanza.
Je wafanyaje?
Kuishi nao uraiani,kusiwafanye mkawazoea sana.Ni askari hao.
Duh, umemvunjia sana heshima mzee wa watu, je kuna sehemu kasema hana nyumba?Inaonekana babu yako ndo wale wazee wakati wenzao wanapambana kushika viwanja na marneo mdani ya jiji la dsm yeye alikua busy kutongoza na kuruka viwanja enzi za ujana wake huyo askari kamchukuliaje.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app