kichakaa man
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 5,500
- 5,164
Wee keng.e huo u askari gan wa kufanya upumbavu afu jw hawana hizo pigo za kipumbavu kudhalilisha wazeeWakipita kambi za JW wakirushwa kichura,hampigi kelele,wakipita kambi za polisi na kurushwa kichura,kelele zinaanza.
Je wafanyaje?
Kuishi nao uraiani,kusiwafanye mkawazoea sana.Ni askari hao.
Umejibu kisomiHapo zamani za kale nilikua ninaamini kama wewe unavyoamini.
Mtu wa miaka 73 ni senior citizen..acha ujuajiSenior sio umri, ni ukuu.
boss wako is your senior hata kama umemzidi umri
Sema tu huku Africa kwakuwa wazee hawana ramani Wala legacy yoyote, ila huko Asia mtu mzima usimsogelee hata kama Hana legacy ya pesa basi atakuwa na black belt,Mtu wa miaka 73 ni senior citizen..acha ujuaji
🤣🤣🤣Sema tu huku Africa kwakuwa wazee hawana ramani Wala legacy yoyote, ila huko Asia mtu mzima usimsogelee hata kama Hana legacy ya pesa basi atakuwa na black belt,
Amepita kambi ya polisi au quarter?
Ni mwezi sasa umepita,vipi hali ya Babu.Afande Mecky, mwembamba mrefu na mweupe, ulikuwa bodyguard wa RPC, juzi umemusha babu yangu kichura na umri wake wa miaka 73.
Mzee sasa anaumwa na hawezi hata kwenda kujisaidia haja ndogo.
Sababu ya mateso yote hayo eti kapita kwenye nyumba za polisi.
Sisi mambo ya shirki hatuna na hatuyajui, ila tunaamini kwenye kitu kimoja tu, mwana kulitafuta mwana kulipata.
Kitakachokupata itakuwa gumzo kwa polisi wenzako wasio na adabu hata kwa watu wenye umri wa babu zao.
Kwani askari ni Mungu?? Mbona full kukopa pesa kwa raia?? Tanzania hakuna modern policing..Wakipita kambi za JW wakirushwa kichura,hampigi kelele,wakipita kambi za polisi na kurushwa kichura,kelele zinaanza.
Je wafanyaje?
Kuishi nao uraiani,kusiwafanye mkawazoea sana.Ni askari hao.