Afande Sele hafahamu kuwa miradi iliyotekelezwa na Rais Samia kipindi hiki ni mingi kuliko wakati mwingine wowote?

Wewe ndiye unauliza na sio WaTanzania.
Enzi ya JPM alikuwa anaenda saiti na kushuhudia Sasa hivi anatoa pesa nendeni mkatekeleze! Matokeo yake Ina Waziri Mkuu anavyokomalia ULAJI na upotevu wa Fedha!
Je umeiona kibanda ya mlinzi kujenga Kwa mil. 11 kama sio maajabu!
Huo mchanga na sementi waliagiza nje?? Wewe endelea kuupokea buku 7 ujekuleta uzi wa sifa?? Bogus!
 
Kipofu pekee yake ndo hawezi kupongeza jitihada anazifanyia Rais wetu, katika kata ya Businde wilaya ya Kyerwa: shule ya sekondari Businde imejengewa vyumba vya madarasa vipya vitano, shule ya msingi Omunchwekano kumejengwa vyumba vitatu vipya vya madarasa, hiyo ni kata moja na sasa kuna maandalizi ya kujenga Kituo Cha afya, ajira za kada muhimu ktk maisha za afya na elimu zimetolewa hata kama hazitoshi Ila nia inaonekana, miundo mbinu inaendelea kujenga labda kwa mtu asotembea kujionea, huo ni mwanzo na mara zote mwanzo ni ngumu.
 
Nipo mtaani naona uhalisia wa namna mh Rais wetu mpendwa anavyokubalika na watanzania
 
Nipo mtaani naona uhalisia wa namna mh Rais wetu mpendwa anavyokubalika na watanzania
Mtaa Gani wakati watu wanalia bei ya vyakula vipo juu na tozo zipo kila sehemu yaani bei za vitu vipo juu na hapohapo tozo zinawekwa kila sehemu watu wa mtaani kwako wakikusikia watakuzingua.
 
Mtaa Gani wakati watu wanalia bei ya vyakula vipo juu na tozo zipo kila sehemu yaani bei za vitu vipo juu na hapohapo tozo zinawekwa kila sehemu watu wa mtaani kwako wakikusikia watakuzingua.
Vyakula vipi wanavyolia Bei kuwa juu,
 
Tunataka tujitegemee, hatutaki tukope kwa kila kitu hata vilivyo ndani ya uwezo wetu, lazima Sasa tuanze kujibana ili kuijenga nchi yetu kupitia vipato vyetu, Hatutaki mzigo wa madeni uwe mkubwa kuliko mabega yetu
Ha ha haaa, kumtetea huyu bibi mzururaji huku akipitisha kopo la kuomba omba mtapata tabu. Nothing new with this ajuza. Anaomba, anahongwa mihela kibao analeta nchini, asilimia zaidi ya 70 anafuja na top leaders wake, masikini wanakamuliwa tozo za kiwizi wizi ambazo nazo zaishia mikoba ya vibaka wake.

Tozo ni wizi wa wazi, kataa tozo!!!
 
Kwanza tumia lugha ya Hekima na busara ndio upate kujibiwa, uwe na heshima na adabu kwa mh Rais hata Kama wewe haujapata malezi ya wazazi wako
 
Hivi huoni saizi namna huduma za serikali zilivyo boreshwa kuanzia mahospitalini Hadi shuleni, Sina wasiwasi na huduma za serikali na hata nipatwe na shida nitakwendaa hukohuko serikalini kupata huduma
Jibu ulichoulizwa sio porojo za urojo wa mtu aliyevimbewa ngisi. Aliyekutuma mwambie aache kuibia wananchi, tumechoka!
 
Kwanza tumia lugha ya Hekima na busara ndio upate kujibiwa, uwe na heshima na adabu kwa mh Rais hata Kama wewe haujapata malezi ya wazazi wako
Wezi wa awamu hii mnavaa ustaarabu fulani kumbe majizi balaa tena mnaibia mpk vipofu na walemavu. Kuna siku Mungu atawaumbua tu.

Wewe na lile bibi lako wote wezi tu....nasema achezi kuibia watu, wizi ni dhambi, wizi ni haramu! Mtaumbuka siku 1
 
Usitukolezee nazi kwenye kachumbali yenye ndimu Kali.......hiyo miradi labda ya tozo .....uko mnaupiga mwingi
 
Wezi wa awamu hii mnavaa ustaarabu fulani kumbe majizi balaa tena mnaibia mpk vipofu na walemavu. Kuna siku Mungu atawaumbua tu.

Wewe na lile bibi lako wote wezi tu....nasema achezi kuibia watu, wizi ni dhambi, wizi ni haramu! Mtaumbuka siku 1
Sihitaji kijibizana na wewe maana umejaza matusi matupu, Mimi huwa sijibu matusi, Mungu akujalie moyo wa hekima na busara tu, Nachokuasa Ni kuwa uwe na heshima na adabu kwa mh Rais, Kama unataka wewe nishambulie na kunitukana Mimi kwa kadri uwezavyo kutukana lakini uwe na adabu kwa mh Rais wetu mpendwa
 
Mpendwa wa nyoko
 
Zahanati zilijengwa na mashule kibao zama za BRN. Sasa maajabu gani ya kushangaza utawala huu eti tozo zimejenga choo cha shule. Ujinga sana
Huyu mataga mleta post alikuwa hajazaliwa kipindi cha BRN ,kwa sasa ndiyo anadhani ndiyo tumepata uhuru.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…