Mie Rais wangu ni Mzee Maduro, huyo wenu ni chenga tupu...tabula laza!...Sihitaji kijibizana na wewe maana umejaza matusi matupu, Mimi huwa sijibu matusi, Mungu akujalie moyo wa hekima na busara tu, Nachokuasa Ni kuwa uwe na heshima na adabu kwa mh Rais, Kama unataka wewe nishambulie na kunitukana Mimi kwa kadri uwezavyo kutukana lakini uwe na adabu kwa mh Rais wetu mpendwa
Mchele sasa hivi ni sh 3000 kg 1hapo Acha unga na mafutaVyakula vipi wanavyolia Bei kuwa juu,
Akili hizi!!Unataka uteuzi,Kikwete alijenga UDOM,Mloganzira,hakukuwa na tozo,na mafisadi walipiga pesa,watumishi hewa walikuwa kibao,sasa hv yote hayo hakuna,Ndugu zangu Afande sele kawashangaza Sana mamilioni ya watanzania ambao wanaendelea kuhoji kuwa Ina maana Afande sele hajaona ndani ya mwaka mmoja wa Rais Samia madarakani alivyojenga na kuboresha secta ya Elimu hapa nchini? Watanzania wanahoji kuwa Afande sele amesahau Mara hii namna watanzania walivyokuwa wanahaha kulipa michango ya ujenzi wa vyumba vya madarasa Hadi wengine kukimbia Kaya zao?
Wanauliza je, hakuona mh Rais wetu mpendwa akitoa fedha kwa ajiri ya kwenda kujenga vyumba vya madarasa kila shule? hakuona miaka ya nyuma wengine wakienda muhula wa pili kuanza masomo yao kwa kuwa tu hakukuwa na madarasa ya kutosha? Je wangekuwaje sawa na waliolipoti mwezi wa kwanza?
Wanauliza Kwamba huyu msanii hajaona namna uamuzi wa serikali wakufuta Ada ya kidato cha tano na sita ilivyoweza kuwasaidia watoto wa wanyonge kupata Elimu bila shida? Wangapi walikuwa wanashindwa kuripoti shule kwa kukosa Ada? Je haoni Jambo hilo limeleta neema kwa familia masikini? Huyu msanii haoni kuwa hizo Ni faida za Tozo zetu?
Huyu msanii kwamba hajaona namna zahanati na vituo vya Afya vilivyosambazwa kila Kona ya nchi hii ndani ya muda mfupi wa Rais Samia? Kwamba hajaona wananchi walivyopunguziwa adha ya kusafiri umbali mrefu kutafuta huduma za Afya? Haoni suala Hilo limesaidia hata wamama wajawazito kujifungulia hospitalini na hivyo kupunguza hatari ya kutokea kwa vifo vya mama na mtoto?
Huyu msanii haoni namna huduma za maji zilivyosogezwa Hadi vijijini na hivyo kupunguza Ile kero ya watu kuamka alfajiri kutafuta maji toka kilometa kadhaa? Anadhani pesa hizo zimetoka wapi? Au alitaka watanzania waendelee kuhenyeka kufuata maji umbali mrefu?
Huyu msanii hajaona juhudi za serikali kuinua maisha ya mkulima kwa uamuzi wake wa kutoa Ruzuku ya billion Mia moja hamsini? Haoni namna ambavyo kwa Sasa mbolea inapatikana kwa Bei nafuu ya elfu 70 kwa DAP ambayo msimu uliopita iliuzwa kwa laki na 40? Haoni Jambo Hilo litachochea uzalishaji kuongezeka msimu ujao! Haoni kuwa uchumi wa mkulima unakwenda kuinuka hasa ukizingatia Ni secta iliyo ajiri kundi kubwa la watanzania na ndio pumzi ya watanzania wengi
Hapana siyo kuwa haoni Bali kaamua tu kujipa upofu na kufanya upotoshaji kwa umma ambao hata hivyo umempuuza tu, watanzania hawamshangai maana bado wanakumbuka kuwa amewahi kuvua nguo jukwaani,kwa hiyo wanaona anatatizo linalohitaji ushauri wa kisaokolojia
Watanzania wanaendelea kumuunga mkono mh Rais wetu mpendwa, maana wameona juhudi zake katika kuijenga nchi yetu na maendeleo yaliyopatikana na namna yalivyogusa maisha ya watanzania kwa kupunguza kero zilizokuwa kidonda ndugu kwao
Watanzania wanasema Tanzania itajengwa na sisi watanzania, hatuwezi tukakaa tu ili wenzetu walipe Kodi na Tozo huko kwao halafu sisi tuletewa huku, Hatutaweza Kuendelea na aibu hiyo, Sasa Tumeamua kuijenga Tanzania yetu na mh Rais wetu mpendwa Samia ameongoza njia hiyo na watanzania tunamuunga mkono
Kazi iendelee, mama ametufikia na kuwafikia watanzania walipo
BRN---- big result nowZahanati zilijengwa na mashule kibao zama za BRN. Sasa maajabu gani ya kushangaza utawala huu eti tozo zimejenga choo cha shule. Ujinga sana
Ndugu zangu Afande sele kawashangaza Sana mamilioni ya watanzania ambao wanaendelea kuhoji kuwa Ina maana Afande sele hajaona ndani ya mwaka mmoja wa Rais Samia madarakani alivyojenga na kuboresha secta ya Elimu hapa nchini? Watanzania wanahoji kuwa Afande sele amesahau Mara hii namna watanzania walivyokuwa wanahaha kulipa michango ya ujenzi wa vyumba vya madarasa Hadi wengine kukimbia Kaya zao?
Wanauliza je, hakuona mh Rais wetu mpendwa akitoa fedha kwa ajiri ya kwenda kujenga vyumba vya madarasa kila shule? hakuona miaka ya nyuma wengine wakienda muhula wa pili kuanza masomo yao kwa kuwa tu hakukuwa na madarasa ya kutosha? Je wangekuwaje sawa na waliolipoti mwezi wa kwanza?
Wanauliza Kwamba huyu msanii hajaona namna uamuzi wa serikali wakufuta Ada ya kidato cha tano na sita ilivyoweza kuwasaidia watoto wa wanyonge kupata Elimu bila shida? Wangapi walikuwa wanashindwa kuripoti shule kwa kukosa Ada? Je haoni Jambo hilo limeleta neema kwa familia masikini? Huyu msanii haoni kuwa hizo Ni faida za Tozo zetu?
Huyu msanii kwamba hajaona namna zahanati na vituo vya Afya vilivyosambazwa kila Kona ya nchi hii ndani ya muda mfupi wa Rais Samia? Kwamba hajaona wananchi walivyopunguziwa adha ya kusafiri umbali mrefu kutafuta huduma za Afya? Haoni suala Hilo limesaidia hata wamama wajawazito kujifungulia hospitalini na hivyo kupunguza hatari ya kutokea kwa vifo vya mama na mtoto?
Huyu msanii haoni namna huduma za maji zilivyosogezwa Hadi vijijini na hivyo kupunguza Ile kero ya watu kuamka alfajiri kutafuta maji toka kilometa kadhaa? Anadhani pesa hizo zimetoka wapi? Au alitaka watanzania waendelee kuhenyeka kufuata maji umbali mrefu?
Huyu msanii hajaona juhudi za serikali kuinua maisha ya mkulima kwa uamuzi wake wa kutoa Ruzuku ya billion Mia moja hamsini? Haoni namna ambavyo kwa Sasa mbolea inapatikana kwa Bei nafuu ya elfu 70 kwa DAP ambayo msimu uliopita iliuzwa kwa laki na 40? Haoni Jambo Hilo litachochea uzalishaji kuongezeka msimu ujao! Haoni kuwa uchumi wa mkulima unakwenda kuinuka hasa ukizingatia Ni secta iliyo ajiri kundi kubwa la watanzania na ndio pumzi ya watanzania wengi
Hapana siyo kuwa haoni Bali kaamua tu kujipa upofu na kufanya upotoshaji kwa umma ambao hata hivyo umempuuza tu, watanzania hawamshangai maana bado wanakumbuka kuwa amewahi kuvua nguo jukwaani,kwa hiyo wanaona anatatizo linalohitaji ushauri wa kisaokolojia
Watanzania wanaendelea kumuunga mkono mh Rais wetu mpendwa, maana wameona juhudi zake katika kuijenga nchi yetu na maendeleo yaliyopatikana na namna yalivyogusa maisha ya watanzania kwa kupunguza kero zilizokuwa kidonda ndugu kwao
Watanzania wanasema Tanzania itajengwa na sisi watanzania, hatuwezi tukakaa tu ili wenzetu walipe Kodi na Tozo huko kwao halafu sisi tuletewa huku, Hatutaweza Kuendelea na aibu hiyo, Sasa Tumeamua kuijenga Tanzania yetu na mh Rais wetu mpendwa Samia ameongoza njia hiyo na watanzania tunamuunga mkono
Kazi iendelee, mama ametufikia na kuwafikia watanzania walipo
Fuatilia na kasome hata utafiti wa TTwaw
Huyu naye Ni chawaSi walisema hela za covid zinajenga madarasa mbona hawaeleweki.
Wee Lukasi, ulitaka Nyerere ajenge fulaiova mwaka 1962! Au ulitaka Nyerere ajenge bwawa la Nyerere mwaka1970? Ni ujinga kulinganisha idadi ya miradi na kusema wakati mwingine wowote, unamaana miaka 40 ijayo hawataweza kujenga miradi mingi kuliko hii! Labda nikuulize umri wako ni miaka mingapi isije ukawa ni mwanafunzi wa kidato cha kwanza.Ndugu zangu Afande sele kawashangaza Sana mamilioni ya watanzania ambao wanaendelea kuhoji kuwa Ina maana Afande sele hajaona ndani ya mwaka mmoja wa Rais Samia madarakani alivyojenga na kuboresha secta ya Elimu hapa nchini? Watanzania wanahoji kuwa Afande sele amesahau Mara hii namna watanzania walivyokuwa wanahaha kulipa michango ya ujenzi wa vyumba vya madarasa Hadi wengine kukimbia Kaya zao?
Wanauliza je, hakuona mh Rais wetu mpendwa akitoa fedha kwa ajiri ya kwenda kujenga vyumba vya madarasa kila shule? hakuona miaka ya nyuma wengine wakienda muhula wa pili kuanza masomo yao kwa kuwa tu hakukuwa na madarasa ya kutosha? Je wangekuwaje sawa na waliolipoti mwezi wa kwanza?
Wanauliza Kwamba huyu msanii hajaona namna uamuzi wa serikali wakufuta Ada ya kidato cha tano na sita ilivyoweza kuwasaidia watoto wa wanyonge kupata Elimu bila shida? Wangapi walikuwa wanashindwa kuripoti shule kwa kukosa Ada? Je haoni Jambo hilo limeleta neema kwa familia masikini? Huyu msanii haoni kuwa hizo Ni faida za Tozo zetu?
Huyu msanii kwamba hajaona namna zahanati na vituo vya Afya vilivyosambazwa kila Kona ya nchi hii ndani ya muda mfupi wa Rais Samia? Kwamba hajaona wananchi walivyopunguziwa adha ya kusafiri umbali mrefu kutafuta huduma za Afya? Haoni suala Hilo limesaidia hata wamama wajawazito kujifungulia hospitalini na hivyo kupunguza hatari ya kutokea kwa vifo vya mama na mtoto?
Huyu msanii haoni namna huduma za maji zilivyosogezwa Hadi vijijini na hivyo kupunguza Ile kero ya watu kuamka alfajiri kutafuta maji toka kilometa kadhaa? Anadhani pesa hizo zimetoka wapi? Au alitaka watanzania waendelee kuhenyeka kufuata maji umbali mrefu?
Huyu msanii hajaona juhudi za serikali kuinua maisha ya mkulima kwa uamuzi wake wa kutoa Ruzuku ya billion Mia moja hamsini? Haoni namna ambavyo kwa Sasa mbolea inapatikana kwa Bei nafuu ya elfu 70 kwa DAP ambayo msimu uliopita iliuzwa kwa laki na 40? Haoni Jambo Hilo litachochea uzalishaji kuongezeka msimu ujao! Haoni kuwa uchumi wa mkulima unakwenda kuinuka hasa ukizingatia Ni secta iliyo ajiri kundi kubwa la watanzania na ndio pumzi ya watanzania wengi
Hapana siyo kuwa haoni Bali kaamua tu kujipa upofu na kufanya upotoshaji kwa umma ambao hata hivyo umempuuza tu, watanzania hawamshangai maana bado wanakumbuka kuwa amewahi kuvua nguo jukwaani,kwa hiyo wanaona anatatizo linalohitaji ushauri wa kisaokolojia
Watanzania wanaendelea kumuunga mkono mh Rais wetu mpendwa, maana wameona juhudi zake katika kuijenga nchi yetu na maendeleo yaliyopatikana na namna yalivyogusa maisha ya watanzania kwa kupunguza kero zilizokuwa kidonda ndugu kwao
Watanzania wanasema Tanzania itajengwa na sisi watanzania, hatuwezi tukakaa tu ili wenzetu walipe Kodi na Tozo huko kwao halafu sisi tuletewa huku, Hatutaweza Kuendelea na aibu hiyo, Sasa Tumeamua kuijenga Tanzania yetu na mh Rais wetu mpendwa Samia ameongoza njia hiyo na watanzania tunamuunga mkono
Kazi iendelee, mama ametufikia na kuwafikia watanzania walipo
Miaka ijayo nao watajenga miradi kulingana na mahitaji ya wakati huoWee Lukasi, ulitaka Nyerere ajenge fulaiova mwaka 1962! Au ulitaka Nyerere ajenge bwawa la Nyerere mwaka1970? Ni ujinga kulinganisha idadi ya miradi na kusema wakati mwingine wowote, unamaana miaka 40 ijayo hawataweza kujenga miradi mingi kuliko hii! Labda nikuulize umri wako ni miaka mingapi isije ukawa ni mwanafunzi wa kidato cha kwanza.
Kwa hiyo unataka Tuwe na watumishi hewa pamoja na ufisadi, bila Shaka ulikuwa mnufaika wa hayo mamboAkili hizi!!Unataka uteuzi,Kikwete alijenga UDOM,Mloganzira,hakukuwa na tozo,na mafisadi walipiga pesa,watumishi hewa walikuwa kibao,sasa hv yote hayo hakuna,
Mama anazindua vituo vya polisi vidogo kuliko darasa la chekechea!!
Tukana uwezavyo maana haibadilishi ukweliMpendwa wa nyoko
Huyu naye Ni chawa
kwani tozo zetu zinafanya kazi gan?Huyu naye Ni chawa
Acha maneno maneno, watanzania wameona kazi ya mh Rais na wameridhishwa na utendaji kazi wake na wanahitaji utumishi wakeMtoa mada nikizee kisichojielewa usikute ndio ichi kizee kinataka nafasi ili kiendelee kuiharibu nchi
#Wazee_Washaishiwa
Utakuwa umezungukwa na Chawa au wanafiki wanakupaka mafuta kwa mgongo wa Chupa....Nipo mtaani naona uhalisia wa namna mh Rais wetu mpendwa anavyokubalika na watanzania
Vilijengwa vyumba Ila kwa Sasa yamejengwa madarasa yaliyokamilika kwa kila kitu na kupakwa rangi
Ulitaka Nani agharamie miradi yetu ya maendeleo ambayo kwa Sasa imekuwa msaada mkubwa kwa mwananchi baada ya huduma kusogezwa karibu ya mwananchiUtakuwa umezungukwa na Chawa au wanafiki wanakupaka mafuta kwa mgongo wa Chupa....
And in that token unamaanisha yule aliyefukuzwa kazi TRC na Afande Sele sio watanzania....
Pili hapa watu hawatafuti mchumba wala kuuza sura..., its results business sasa maisha juu, tozo vyakula vimepanda bei hakuna sera yoyote inayoonyesha the future is bright !!! Unategemea watu wakukubali kwa ajili ya Sura yako au Jina lako Zuri ?
Una matatizo sio bure kwahio wanagharamia kwa gharama za maisha kupanda, vitu bei juu na bado kuongezewa mzigo wa kukamuliwa pesa zao wakati hawana income ya hata ku-sustain basic needs?!!!Ulitaka Nani agharamie miradi yetu ya maendeleo ambayo kwa Sasa imekuwa msaada mkubwa kwa mwananchi baada ya hudumu kusogezwa karibu ya mwananchi
Una matatizo sio bure kwahio wanagharamia kwa gharama za maisha kupanda, vitu bei juu na bado kuongezewa mzigo wa kukamuliwa pesa zao wakati hawana income ya hata ku-sustain basic needs?!!!
Yaani huo ndio mwisho wa mawazo / fikra / ubunifu wa hii awamu ?!!!, Najiuliza na hizi resources zote kuna nothing to show for it..., je tungekuwa jangwani huko pasipo na resources zozote si ndio wangeshauri cannibalism !!