Afande Sele: Magufuli alikopa na kufanya makubwa, sasa hivi wanakopa na hakuna linaloonekana

Afande Sele: Magufuli alikopa na kufanya makubwa, sasa hivi wanakopa na hakuna linaloonekana

Sele anataka aone Zege linamiminwa ndio i click! 🤣

Mama anatakiwa arudishe kile kitengo cha Propaganda cha Mwendazake, Watu walllishwa sana Propaganda mpaka wamekuwa Mateja.
Mbumbumbu
 
Sele anataka aone Zege linamiminwa ndio i click! 🤣

Mama anatakiwa arudishe kile kitengo cha Propaganda cha Mwendazake, Watu walllishwa sana Propaganda mpaka wamekuwa Mateja.
Kwamba kina Makamba kuzungukuza huku wakigawa Majiko ya Gesi na Bungeni kusimamisha shughuli ili kusifia Royal Tour unaita nini kama sio Propaganda ?!!!

Kila mgeni aliyekuja baada ya ile tamthiliya alihusishwa na Royal Tour..., If that's not Propaganda tell me what Is !!!, Kina Afande Sele na wengine tunao-criticize ndio tunaitakia mema nchi bila kusema hiki hapana walamba asali wanaweza kuona ni sawa...
 
Hawa matahira wanashindwa kujua kuwa mikopo aliyokuwa anakopa magufuli Ni ya riba kubwa na ya muda mfupi, yule mzee alichokosea alikuwa sio mkweli,aliwadanganya haya matahira yakahamini kweli miradi Inajengwa kwa fedha za ndani
Hili hata mimi nimekuwq nikilisema watu hawakubali. Rais Samia anapitia changamot9 nyingi sana. Ni ukubwa tu unamfanya astahimili.
 
Mkuu kumbuka kuna kurudisha mikopo. JPM alikopa mikopo ya kibiashara ya muda mfupi na riba kubwa. Sasa hiyo mikopo inatakiwa kurejeshwa na miradi yoote mikubwa aliyoanzisha kuanzia ununuzi wa midege, SGR, bwawa la umeme n.k hakuna hata mmoja umeweza kurudisha hata shilingi. Mambo siyo rahisi kama tudhanivyo.
Sawa, kwaiyo Iyo mikopo imeanza kulipwa baada tu ya mama kuingia madarakani????

Kama sivyo, Jpm aliwezaje kuendesha nchi bila tozo huku akiendelea kulipa mikopo yake ya kibiashara yenye riba kubwa?????

Juhudi kubwa ambazo Jpm aliwekeza ni ukusanyaji wa kodi na sote tuliona ambavyo hakukuwa na masihara kwenye hilo,

Sasa hivi ulipaji wa kodi umeshuka wafanyabiashara wengi hawalipi kodi.
 
Hawa matahira wanashindwa kujua kuwa mikopo aliyokuwa anakopa magufuli Ni ya riba kubwa na ya muda mfupi, yule mzee alichokosea alikuwa sio mkweli,aliwadanganya haya matahira yakahamini kweli miradi Inajengwa kwa fedha za ndani
Hata Kiswahili hujui. Chuki zimezidisha ujinga na matusi. Eti "yakahamini".
 
View attachment 2351368

"Unajua kwenye each one teach one hatupingi mikopo, lakini tunapinga aina ya mikopo na kile ambacho kinatumika kupitia hiyo mikopo. Yaani, hiyo mikopo ina impact gani kwa wananchi inayoeleweka. Ni kama vile wewe umeenda kwa bwasheee kukopa unga au mafuta kwa sababu watoto wako wale"

"Sasa wewe unakopa halafu watoto wako bado wanakaa na njaa, sasa wewe umekopa ya nini? Tunasema nchi kubwa zinakopa, Magufuli alikopa.....lakini Magu alipokopa tuliona. Miradi ya kimkakati mikubwa alijenga, mipya akaianzisha, ya zamani akaiboresha, ma reli yaliyokufa miaka na miaka yanayoenda huko Arusha kayafufua, reli kigoma inaishia Dodoma kaifufua mpaka Dar es salaam, akajenga na reli mpya, miundombinu ya umeme akaanzisha na mambo mengi mengi alifanya kwa muda mfupi aliotumikia nchi hii."

"Ko tunasema, ok alikopa lakini alifanya hiki. Ila kwenye kukopa kwake pia Magufuli hatukuona tozo zikiongezeka, hatukuona makodi ya ajabu ajabu, yaani tuliona kwamba mambo yanakwenda hata kwenye kipindi cha CORONA, kipindi kigumu dunia nzima imefungiwa ndani yeye bado aliendelea kupambana."

"Hatukuona matozo wala makodi ya ajabu yakiletwa nchi hii"


Serikali inabidi itoe elimu zaidi
Mikopo mfano imejenga shule nyingi na hospital kila mahali

Lakini Afende sele aelewe mikopo ni madeni sasa yanalipwaje. Mkopo mfano ya sehemu y kwanza ya reli Magu alikopa kwa riba ya juu sana 8% kwa miaka 6 mkopo wa $1.5 B mi kama billion 600 kwa kila mwaka je pesa hizi za kulipa zinatoka wapi? Lakini reli bado haijaisha hizo pesa zinatoka wapi?. Pesa za bwawa zitoke wapi.

Utaratibu wa kutaifisha pesa za wafanyabiashara, kuteka matajiri na kuchukuwa pesa za maduka ya pesa haziwezi kuwa endelezi badala yake inabidi kuwe na mifumo mizuri.
 
View attachment 2351368

"Unajua kwenye each one teach one hatupingi mikopo, lakini tunapinga aina ya mikopo na kile ambacho kinatumika kupitia hiyo mikopo. Yaani, hiyo mikopo ina impact gani kwa wananchi inayoeleweka. Ni kama vile wewe umeenda kwa bwasheee kukopa unga au mafuta kwa sababu watoto wako wale"

"Sasa wewe unakopa halafu watoto wako bado wanakaa na njaa, sasa wewe umekopa ya nini? Tunasema nchi kubwa zinakopa, Magufuli alikopa.....lakini Magu alipokopa tuliona. Miradi ya kimkakati mikubwa alijenga, mipya akaianzisha, ya zamani akaiboresha, ma reli yaliyokufa miaka na miaka yanayoenda huko Arusha kayafufua, reli kigoma inaishia Dodoma kaifufua mpaka Dar es salaam, akajenga na reli mpya, miundombinu ya umeme akaanzisha na mambo mengi mengi alifanya kwa muda mfupi aliotumikia nchi hii."

"Ko tunasema, ok alikopa lakini alifanya hiki. Ila kwenye kukopa kwake pia Magufuli hatukuona tozo zikiongezeka, hatukuona makodi ya ajabu ajabu, yaani tuliona kwamba mambo yanakwenda hata kwenye kipindi cha CORONA, kipindi kigumu dunia nzima imefungiwa ndani yeye bado aliendelea kupambana."

"Hatukuona matozo wala makodi ya ajabu yakiletwa nchi hii"
Jamaa ana akili kuzidi serikali yote ya ccm
 
Sawa, kwaiyo Iyo mikopo imeanza kulipwa baada tu ya mama kuingia madarakani????

Kama sivyo, Jpm aliwezaje kuendesha nchi bila tozo huku akiendelea kulipa mikopo yake ya kibiashara yenye riba kubwa?????

Juhudi kubwa ambazo Jpm aliwekeza ni ukusanyaji wa kodi na sote tuliona ambavyo hakukuwa na masihara kwenye hilo,

Sasa hivi ulipaji wa kodi umeshuka wafanyabiashara wengi hawalipi kodi.
Ukumbuki walikuwa wanapora fedha za watu kwenye account zao na bado haikutosha wakaunda sheria ya plea bargain
 
Back
Top Bottom