Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
- Thread starter
-
- #41
MbumbumbuSele anataka aone Zege linamiminwa ndio i click! 🤣
Mama anatakiwa arudishe kile kitengo cha Propaganda cha Mwendazake, Watu walllishwa sana Propaganda mpaka wamekuwa Mateja.
Acha ujingaHuyo bangi zinamsumbua hakuna kumsikiliza
Ila IPO siku itakula kwao.wacha waone wapo matawi ya juu wakati upepo unazidi kuvuma,watajikuta wapo chini one day yesNdiyo tatizo la CCM, ukweli wao wanaita uchochezi
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Aliesema tuhamie Burundi na huyu anaeongelea tozo nani mvuta bangi!!!!Huyo bangi zinamsumbua hakuna kumsikiliza
Kwamba kina Makamba kuzungukuza huku wakigawa Majiko ya Gesi na Bungeni kusimamisha shughuli ili kusifia Royal Tour unaita nini kama sio Propaganda ?!!!Sele anataka aone Zege linamiminwa ndio i click! 🤣
Mama anatakiwa arudishe kile kitengo cha Propaganda cha Mwendazake, Watu walllishwa sana Propaganda mpaka wamekuwa Mateja.
Kati ya alivyotaja afande Sele kipi ni propaganda hapo?Sele anataka aone Zege linamiminwa ndio i click! 🤣
Mama anatakiwa arudishe kile kitengo cha Propaganda cha Mwendazake, Watu walllishwa sana Propaganda mpaka wamekuwa Mateja.
Kosa lake ni kumtaja Mwendazake badala MamaMvuta bange anaongea point kuliko chawa wenye Phd
Hili hata mimi nimekuwq nikilisema watu hawakubali. Rais Samia anapitia changamot9 nyingi sana. Ni ukubwa tu unamfanya astahimili.Hawa matahira wanashindwa kujua kuwa mikopo aliyokuwa anakopa magufuli Ni ya riba kubwa na ya muda mfupi, yule mzee alichokosea alikuwa sio mkweli,aliwadanganya haya matahira yakahamini kweli miradi Inajengwa kwa fedha za ndani
Sawa, kwaiyo Iyo mikopo imeanza kulipwa baada tu ya mama kuingia madarakani????Mkuu kumbuka kuna kurudisha mikopo. JPM alikopa mikopo ya kibiashara ya muda mfupi na riba kubwa. Sasa hiyo mikopo inatakiwa kurejeshwa na miradi yoote mikubwa aliyoanzisha kuanzia ununuzi wa midege, SGR, bwawa la umeme n.k hakuna hata mmoja umeweza kurudisha hata shilingi. Mambo siyo rahisi kama tudhanivyo.
Hata Kiswahili hujui. Chuki zimezidisha ujinga na matusi. Eti "yakahamini".Hawa matahira wanashindwa kujua kuwa mikopo aliyokuwa anakopa magufuli Ni ya riba kubwa na ya muda mfupi, yule mzee alichokosea alikuwa sio mkweli,aliwadanganya haya matahira yakahamini kweli miradi Inajengwa kwa fedha za ndani
Wazalendo tutamlinda kwa gharama yeyote.Ukiongelea tozo negatively on public km hivi basi jipimie siku zako
Cc: Jonas Afumwisye Mwangunga
R.I.P William Chacha Griago
Hakuna cha mambo yake Yale!!Anaongea yeye au ashapiga mambo yake yale
View attachment 2351368
"Unajua kwenye each one teach one hatupingi mikopo, lakini tunapinga aina ya mikopo na kile ambacho kinatumika kupitia hiyo mikopo. Yaani, hiyo mikopo ina impact gani kwa wananchi inayoeleweka. Ni kama vile wewe umeenda kwa bwasheee kukopa unga au mafuta kwa sababu watoto wako wale"
"Sasa wewe unakopa halafu watoto wako bado wanakaa na njaa, sasa wewe umekopa ya nini? Tunasema nchi kubwa zinakopa, Magufuli alikopa.....lakini Magu alipokopa tuliona. Miradi ya kimkakati mikubwa alijenga, mipya akaianzisha, ya zamani akaiboresha, ma reli yaliyokufa miaka na miaka yanayoenda huko Arusha kayafufua, reli kigoma inaishia Dodoma kaifufua mpaka Dar es salaam, akajenga na reli mpya, miundombinu ya umeme akaanzisha na mambo mengi mengi alifanya kwa muda mfupi aliotumikia nchi hii."
"Ko tunasema, ok alikopa lakini alifanya hiki. Ila kwenye kukopa kwake pia Magufuli hatukuona tozo zikiongezeka, hatukuona makodi ya ajabu ajabu, yaani tuliona kwamba mambo yanakwenda hata kwenye kipindi cha CORONA, kipindi kigumu dunia nzima imefungiwa ndani yeye bado aliendelea kupambana."
"Hatukuona matozo wala makodi ya ajabu yakiletwa nchi hii"
nimeuliza tu km yuko fresh ama ameshalipuliza mkuuHakuna cha mambo yake Yale!!
usijitoe ufahamu. Kaongea facts tupu ambazo ni ukweli
Jamaa ana akili kuzidi serikali yote ya ccmView attachment 2351368
"Unajua kwenye each one teach one hatupingi mikopo, lakini tunapinga aina ya mikopo na kile ambacho kinatumika kupitia hiyo mikopo. Yaani, hiyo mikopo ina impact gani kwa wananchi inayoeleweka. Ni kama vile wewe umeenda kwa bwasheee kukopa unga au mafuta kwa sababu watoto wako wale"
"Sasa wewe unakopa halafu watoto wako bado wanakaa na njaa, sasa wewe umekopa ya nini? Tunasema nchi kubwa zinakopa, Magufuli alikopa.....lakini Magu alipokopa tuliona. Miradi ya kimkakati mikubwa alijenga, mipya akaianzisha, ya zamani akaiboresha, ma reli yaliyokufa miaka na miaka yanayoenda huko Arusha kayafufua, reli kigoma inaishia Dodoma kaifufua mpaka Dar es salaam, akajenga na reli mpya, miundombinu ya umeme akaanzisha na mambo mengi mengi alifanya kwa muda mfupi aliotumikia nchi hii."
"Ko tunasema, ok alikopa lakini alifanya hiki. Ila kwenye kukopa kwake pia Magufuli hatukuona tozo zikiongezeka, hatukuona makodi ya ajabu ajabu, yaani tuliona kwamba mambo yanakwenda hata kwenye kipindi cha CORONA, kipindi kigumu dunia nzima imefungiwa ndani yeye bado aliendelea kupambana."
"Hatukuona matozo wala makodi ya ajabu yakiletwa nchi hii"
Anaongea yeye au ashapiga mambo yake yale
Afanye hivyoSele anataka aone Zege linamiminwa ndio i click! 🤣
Mama anatakiwa arudishe kile kitengo cha Propaganda cha Mwendazake, Watu walllishwa sana Propaganda mpaka wamekuwa Mateja.
Ukumbuki walikuwa wanapora fedha za watu kwenye account zao na bado haikutosha wakaunda sheria ya plea bargainSawa, kwaiyo Iyo mikopo imeanza kulipwa baada tu ya mama kuingia madarakani????
Kama sivyo, Jpm aliwezaje kuendesha nchi bila tozo huku akiendelea kulipa mikopo yake ya kibiashara yenye riba kubwa?????
Juhudi kubwa ambazo Jpm aliwekeza ni ukusanyaji wa kodi na sote tuliona ambavyo hakukuwa na masihara kwenye hilo,
Sasa hivi ulipaji wa kodi umeshuka wafanyabiashara wengi hawalipi kodi.