Afande Sele: Magufuli alikopa na kufanya makubwa, sasa hivi wanakopa na hakuna linaloonekana

Afande Sele: Magufuli alikopa na kufanya makubwa, sasa hivi wanakopa na hakuna linaloonekana

View attachment 2351368

"Unajua kwenye each one teach one hatupingi mikopo, lakini tunapinga aina ya mikopo na kile ambacho kinatumika kupitia hiyo mikopo. Yaani, hiyo mikopo ina impact gani kwa wananchi inayoeleweka. Ni kama vile wewe umeenda kwa bwasheee kukopa unga au mafuta kwa sababu watoto wako wale"

"Sasa wewe unakopa halafu watoto wako bado wanakaa na njaa, sasa wewe umekopa ya nini? Tunasema nchi kubwa zinakopa, Magufuli alikopa, lakini Magu alipokopa tuliona. Miradi ya kimkakati mikubwa alijenga, mipya akaianzisha, ya zamani akaiboresha, ma reli yaliyokufa miaka na miaka yanayoenda huko Arusha kayafufua, reli kigoma inaishia Dodoma kaifufua mpaka Dar es salaam, akajenga na reli mpya, miundombinu ya umeme akaanzisha na mambo mengi mengi alifanya kwa muda mfupi aliotumikia nchi hii."

"Ko tunasema, ok alikopa lakini alifanya hiki. Ila kwenye kukopa kwake pia Magufuli hatukuona tozo zikiongezeka, hatukuona makodi ya ajabu ajabu, yaani tuliona kwamba mambo yanakwenda hata kwenye kipindi cha CORONA, kipindi kigumu dunia nzima imefungiwa ndani yeye bado aliendelea kupambana."

"Hatukuona matozo wala makodi ya ajabu yakiletwa nchi hii"
Ni bora sele asingemtaja marehemu maana alitukera sana
 
==
View attachment 2351487
Code:
[MEDIA=twitter]1568193533017833478[/MEDIA]
==
1662783989484.jpeg

1662784005975.jpeg
 
View attachment 2351368

"Unajua kwenye each one teach one hatupingi mikopo, lakini tunapinga aina ya mikopo na kile ambacho kinatumika kupitia hiyo mikopo. Yaani, hiyo mikopo ina impact gani kwa wananchi inayoeleweka. Ni kama vile wewe umeenda kwa bwasheee kukopa unga au mafuta kwa sababu watoto wako wale"

"Sasa wewe unakopa halafu watoto wako bado wanakaa na njaa, sasa wewe umekopa ya nini? Tunasema nchi kubwa zinakopa, Magufuli alikopa, lakini Magu alipokopa tuliona. Miradi ya kimkakati mikubwa alijenga, mipya akaianzisha, ya zamani akaiboresha, ma reli yaliyokufa miaka na miaka yanayoenda huko Arusha kayafufua, reli kigoma inaishia Dodoma kaifufua mpaka Dar es salaam, akajenga na reli mpya, miundombinu ya umeme akaanzisha na mambo mengi mengi alifanya kwa muda mfupi aliotumikia nchi hii."

"Ko tunasema, ok alikopa lakini alifanya hiki. Ila kwenye kukopa kwake pia Magufuli hatukuona tozo zikiongezeka, hatukuona makodi ya ajabu ajabu, yaani tuliona kwamba mambo yanakwenda hata kwenye kipindi cha CORONA, kipindi kigumu dunia nzima imefungiwa ndani yeye bado aliendelea kupambana."

"Hatukuona matozo wala makodi ya ajabu yakiletwa nchi hii"
WOTE WANAOBISHA KUWA CCM NI MAFII [emoji117][emoji90][emoji90][emoji90]WAPIGE LIKE HAPA CHINI
 
Binafsi kama nilidanganywa bwawa la nyerere, bombadia, makanikia, fly over, magomen kota, SGR,PANYA Road walikuwa adimu, barabara ya ubungo kwenda kibaha, stend ya MAGUFULI tena live nimeona bila CHENGA basi hayati alikuwa MWANAMAZINGAOMBWE MBOBEZI,ila huyu anayejiita wa awamu ya sita sijaona chochote zaidi ya VIBANDA VYA WALINZI na VYOO vinaleta ukakasi gharama zake na huku atakuamua TOZO ni hatari kuliko HAYATI.
Huwezi kuona lolote maana bado una majonzi ya kufiwa mwaka jana
 
Watanzania waliowengi ni wajinga mama anatakiwa afanye kazi asiwasikilize hawa wapuuzi aina ya afande sele magufuli aliacha hazina ikiwa nyeupe kwa miradi yake ya kipumbavu ambayo MPAKA leo haijaleta faida mfano mandege ya ATC ni hasara tupu na bora alikufa maana hela alishamaliza kwenye kihenge tukawa hatukopesheki tena the only solution aliyoiyona ni kuanza kuteka matajiri na kukwapua hela za watu mbaya zaidi akaingilia MFUMO wa mahakama wa kununua haki (plea bargain) na ili kuondoa ukosoaji akaterorize taifa yoyote aliyemkosoa alikiona cha mtema kuni leo hii Huyo selemani msindi ingekuwa enzi za belzebuul magufuli angeshakuwa misitu ya bigwa au tungi Morogoro huko analiwa na funza hicho ki tv uchwara cha mtandaoni kingepigwa bomu na kuuwawa watu wake mwacheni mama afukie mashimo ya mwehu yule wa chato.
Exactly,haya matahira ndiomaana yalikuwa yanabinywa pumbu nakutupwa baharini,maana hayana fadhila
 
Amna mtu aliyeporwa pesa yake, ila walinyang'anywa pesa ya serikali.

Wewe uliporwa sh ngapi???
Umerogwa wewe, kwahiyo zile za kwenye maduka ya kubadilishia fedha za kigeni zilikuwa za mungu wenu pia?
 
Kwani hii anayokopa mama yenu (failure) italipwa na watu wa Burundi? Huoni kwamba ni bora kulipa mikopo iliyofanya kazi (ya jiwe) kuliko hii ambayo inakopwa na mama yenu bila kufanyiwa kazi.

Wewe ni mmoja wa wajinga.
Sasa kama unaamini jiwe alikuwa kakuzidi akili je wewe ni nani kama siyo mjinga zaidi yake, bora hata yeye aliamini ushirikina dhidi ya Science sema corona ikasepa naye
 
Kwa hyo kipindi Cha magu kulikuwa hakuna kulejesha mikopo iliyokopwa kipindi Cha awamu za nyuma? Acha kutuona wa tz niwa 1950.madeni yapo tangu awamu ya kwanza .amekopa na vitu tumeviona na alikuwa analipa mikopo ya nyuma.huyu anakopa+Hela za covid+Hela za tozo Kila mahala lakini hakuna jipya.
Acheni usukuma gang
 
Hawa matahira wanashindwa kujua kuwa mikopo aliyokuwa anakopa magufuli Ni ya riba kubwa na ya muda mfupi, yule mzee alichokosea alikuwa sio mkweli,aliwadanganya haya matahira yakahamini kweli miradi Inajengwa kwa fedha za ndani.
Mbona kama wewe ndio taahira
 
Haya maelezo ya Sele tuyaprinti alafu tukayabandike pale geti la kuingia ikulu!

Kaongea ukweli mtupu
 
Umerogwa wewe, kwahiyo zile za kwenye maduka ya kubadilishia fedha za kigeni zilikuwa za mungu wenu pia?
Wao wanaujua ukweli ndomana wamekaa kimya, wewe usiejua endelea kuwasemea.

Kiujumla wengi walioguswa wanafahamu kabisa walistahili kuguswa ndomana wengi wamekaa kimya.
 
Sasa kama unaamini jiwe alikuwa kakuzidi akili je wewe ni nani kama siyo mjinga zaidi yake, bora hata yeye aliamini ushirikina dhidi ya Science sema corona ikasepa naye
Kwamba wale watu laki 5 waliokufa kwa korona kule marekani nao waliamin ushirikina?
 
Tundu Lissu acha propaganda za kusema JPM alikutwa na madola mengi ofisini kwake baada ya kufariki. Hata kama yalikuwepo, aliziweka ili mafisadi wasizikupue, alifanya maendeleo ya taifa lake kwa uzalendo wa hali ya juu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wao wanaujua ukweli ndomana wamekaa kimya, wewe usiejua endelea kuwasemea.

Kiujumla wengi walioguswa wanafahamu kabisa walistahili kuguswa ndomana wengi wamekaa kimya.
Umeeleweka GOODgay
 
Hawa matahira wanashindwa kujua kuwa mikopo aliyokuwa anakopa magufuli Ni ya riba kubwa na ya muda mfupi, yule mzee alichokosea alikuwa sio mkweli,aliwadanganya haya matahira yakahamini kweli miradi Inajengwa kwa fedha za ndani.
Alivyokufa alienda na hela zote alizokopa eti???
 
Back
Top Bottom