Afande Sele: Magufuli alikopa na kufanya makubwa, sasa hivi wanakopa na hakuna linaloonekana

Ni bora sele asingemtaja marehemu maana alitukera sana
 
WOTE WANAOBISHA KUWA CCM NI MAFII [emoji117][emoji90][emoji90][emoji90]WAPIGE LIKE HAPA CHINI
 
Huwezi kuona lolote maana bado una majonzi ya kufiwa mwaka jana
 
Exactly,haya matahira ndiomaana yalikuwa yanabinywa pumbu nakutupwa baharini,maana hayana fadhila
 
Amna mtu aliyeporwa pesa yake, ila walinyang'anywa pesa ya serikali.

Wewe uliporwa sh ngapi???
Umerogwa wewe, kwahiyo zile za kwenye maduka ya kubadilishia fedha za kigeni zilikuwa za mungu wenu pia?
 
Kwani hii anayokopa mama yenu (failure) italipwa na watu wa Burundi? Huoni kwamba ni bora kulipa mikopo iliyofanya kazi (ya jiwe) kuliko hii ambayo inakopwa na mama yenu bila kufanyiwa kazi.

Wewe ni mmoja wa wajinga.
Sasa kama unaamini jiwe alikuwa kakuzidi akili je wewe ni nani kama siyo mjinga zaidi yake, bora hata yeye aliamini ushirikina dhidi ya Science sema corona ikasepa naye
 
Acheni usukuma gang
 
Hawa matahira wanashindwa kujua kuwa mikopo aliyokuwa anakopa magufuli Ni ya riba kubwa na ya muda mfupi, yule mzee alichokosea alikuwa sio mkweli,aliwadanganya haya matahira yakahamini kweli miradi Inajengwa kwa fedha za ndani.
Mbona kama wewe ndio taahira
 
Haya maelezo ya Sele tuyaprinti alafu tukayabandike pale geti la kuingia ikulu!

Kaongea ukweli mtupu
 
Umerogwa wewe, kwahiyo zile za kwenye maduka ya kubadilishia fedha za kigeni zilikuwa za mungu wenu pia?
Wao wanaujua ukweli ndomana wamekaa kimya, wewe usiejua endelea kuwasemea.

Kiujumla wengi walioguswa wanafahamu kabisa walistahili kuguswa ndomana wengi wamekaa kimya.
 
Sasa kama unaamini jiwe alikuwa kakuzidi akili je wewe ni nani kama siyo mjinga zaidi yake, bora hata yeye aliamini ushirikina dhidi ya Science sema corona ikasepa naye
Kwamba wale watu laki 5 waliokufa kwa korona kule marekani nao waliamin ushirikina?
 
Tundu Lissu acha propaganda za kusema JPM alikutwa na madola mengi ofisini kwake baada ya kufariki. Hata kama yalikuwepo, aliziweka ili mafisadi wasizikupue, alifanya maendeleo ya taifa lake kwa uzalendo wa hali ya juu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wao wanaujua ukweli ndomana wamekaa kimya, wewe usiejua endelea kuwasemea.

Kiujumla wengi walioguswa wanafahamu kabisa walistahili kuguswa ndomana wengi wamekaa kimya.
Umeeleweka GOODgay
 
Hawa matahira wanashindwa kujua kuwa mikopo aliyokuwa anakopa magufuli Ni ya riba kubwa na ya muda mfupi, yule mzee alichokosea alikuwa sio mkweli,aliwadanganya haya matahira yakahamini kweli miradi Inajengwa kwa fedha za ndani.
Alivyokufa alienda na hela zote alizokopa eti???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…