Afariki akiwa kwenye mfungo wa siku 30, aliahidi kufufuka Desemba 8

Afariki akiwa kwenye mfungo wa siku 30, aliahidi kufufuka Desemba 8

Hizi dini zinatakiwa ziwekwe kundi moja na madawa ya kulevya kama cocaine na heroine.

Kila mara huwa nasema madawa ya kulevya ambayo ni namba moja kwa ubaya ni hizi dini
 
Kuna andiko lolote linasema afanye hivyo au amejizulia tu mwenyewe?

Kama hakuna andiko linalotoa hayo maelekezo basi amejiua mwenyewe na njaa
 
Ndio sababu Karl Marx alipinga sana haya mambo. "Religion as an opium of the people".
 
Geita ni kujinyonga, kuua na vituko vya ajabu.

Nawasalim washikaji wangu wa mwatuchek, ccm katoro na shilabela.
 
Uyo muumini nae apimwe mkojo kamdanganya mchungaji wake wafunge kumbe yeye akitoka anaenda kupiga mtori anakua fresh
 
Mwanamke ni siku saba ndo anaaga dunia kwa sababu mwili wake una matiti(maziwa)yanasaidia akae kwa huo muda/siku akiwa mzima bila kula[emoji2]

Mwanaume siku tano tu chali inakuwa kwa heri mwalim[emoji2]

Habari za asubuhi mpendwa luckyline
Si kweli bwana wewe hukumbuki wale wanaume walifukiwa mgodini for more than 40days? Walipopelewa karatasi wakaomba wapewe fegi na kibariti?
 
Back
Top Bottom