cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Unaleta mchezo na njaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Unaleta mchezo na njaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] itakuwa wamevurugwa vibayaaaaa.Wabishi hao, watakwambia amekufa kishujaa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Bangi mbaya aisee Yesu mwenyewe ailimaliza siku 40 ulimi ukiwa umetoka nje
Wafia dini mkuje hapa mumuone mwenzenu, kafa kwa ujinga wake lol. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uwiiiiiiiih!!!!Muda bado wamuache maaana hapa ametaja tarehe ya kufufuka na sio mwaka anaweza kufufuka hata mwakan December 8
kwahiyo kwa kigezo cha matiti mtu kama Zuchu si atakaa siku 2 tu.Mwanamke ni siku saba ndo anaaga dunia kwa sababu mwili wake una matiti(maziwa)yanasaidia akae kwa huo muda/siku akiwa mzima bila kula[emoji2]
Mwanaume siku tano tu chali inakuwa kwa heri mwalim[emoji2]
Habari za asubuhi mpendwa luckyline
Mbona habari ina utata hii,kama alikuwa kwenye mfungo wa siku 30 ilikuwaje akasema atafufuka December 8?ilikuwaje mfungo wa kifo?Abdel Raphael (42) Mkazi wa Mtaa wa Uwanja halmashauri ya mji Geita amekutwa amefariki ndani kwake akiwa kwenye mfungo wa siku 30 akitarajia kufufuka Desemba 8.
Mmoja wa waumini waliokuwa wakishiriki ibada ya pamoja na marehemu ambaye alikuwa mchungaji wao anasema marehemu aliwaaminisha kuwa ifikapo Desemba 8 atafufuka lakini kufikia siku hiyo akawa amefariki na mwili wake kuharibika.
"Tulikuwa tumefunga tangu tarehe 28 mwezi wa 11 ilivyofika tarehe 2, kwenye chumba chake cha maombi kumcheki alikuwa mzima, tarehe 3 kwenda kumwangalia ile hali ilitutisha tukakuta ameanguka kitandani, yupo kifua wazi, yupo kwenye bukta, ikabidi tumkusanye miguu, tumuoshe vizuri. Tukamfunika mdomo, macho vizuri, tukamlaza vizuri, halafu tukaenda kutoa taarifa katika uongozi wa mtaa kwa ajili ya taratibu zinazofuata", amesema Jumanne Zuberi ambaye ni muumini mwenzake.
View attachment 2447111
Chanzo: East Africa Radio
Kuna watakatifu wake Mungu wanagonga siku 13 - 14 bila ya kula chochote wala kunywa maji, hakika uwezo wa Mungu umepitiliza akili na maarifa yetu sisi Binadamu.Hivi mwanaume asipokila lazima afe baada ya siku ngapi?
Na mwanamke asipokula lazima afe baada ya siku ngapi?
Yaani walivyomkuta yupo hio ilibidi wampe chakula pale pale angeamka.
Wenzake ni wajanja walikuwa wakitoka kwenye maombi wanapiga msosi.
Biblia imesema tutafufuka siku ya mwisho sasa inakuwaje yeye afufuke trh 8 mbona leo trh 17?
Jaribu nawe kufunga hizo siku 7 kavu uone kama Mungu anajaribiwa, hao ni Mashujaa wa imani na hawatakuwa na hali mbaya milele sababu kila jambo huwa lina wakati wake.watu ni wajinga kwakweli nilienda kanisa fulani watu et wanafunga siku saba kavu yaani ni walikuwa na hali mbaya mpaka wengine ni kama akili.zimewaruka
bahati nzuri sikusikia kesi ya kifo ila hali zilikuwa mbaya
Ukimkuta mtu amekaa muda mrefu bila kupata chakula wala maji usijaribu hata siku moja kumpa chakula ale maana atakufa papo hapo cha kufanya.Hivi mwanaume asipokila lazima afe baada ya siku ngapi?
Na mwanamke asipokula lazima afe baada ya siku ngapi?
Yaani walivyomkuta yupo hio ilibidi wampe chakula pale pale angeamka.
Wenzake ni wajanja walikuwa wakitoka kwenye maombi wanapiga msosi.
Biblia imesema tutafufuka siku ya mwisho sasa inakuwaje yeye afufuke trh 8 mbona leo trh 17?
Naisi waafrika tuna shida,umeongea kweli,dhana ya dini ni mapokeo na ilikuwepo Toka mababu zetu na pia waliamini huyu mungu tunayemwamini sasa.Tatizo linakuja tunapovuka mipaka na kujiona ni wathamani na pia tunajua zaidi ya muumba wetu.Mungu aliweka chakula na mimea mbalimbali kwa ajili yetu ili itupe energy na tuweze kuishi na kufanya kazi.shida pia inaanzia kwa viongozi wenyewe namna ya kuwapa watu elimu hii.Mimi nikiona mtu yupo deep sana kiimana namkalia mbali. Afrika wamekuwa wajinga mno na haya mambo ya kiimani.
Yaani aliahidi kuwa atakufa halafu atafufuka hiyo tarehe aliyotajaAliahidije kufufuka wakati alikuqa hai
my friend mi huwa nafunga mpaka zile arobaini za kwaresma ila huwa najiangalia na natumia akili,yaani mtu mpaka unaona fyuzi zinakatika?mtu mpaka anaanguka kanisani hiyo ni akili?mtu unafunga mpaka unashindwa kuomba ebu nambie mtu njaa imekuzidi utapata wapi kumwomba Mungu?Jaribu nawe kufunga hizo siku 7 kavu uone kama Mungu anajaribiwa, hao ni Mashujaa wa imani na hawatakuwa na hali mbaya milele sababu kila jambo huwa lina wakati wake.
MUHUBIRI 3:1-15.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Mwanaume siku 4 tu anadanja ila sisi ni siku 7Hivi mwanaume asipokila lazima afe baada ya siku ngapi?
Na mwanamke asipokula lazima afe baada ya siku ngapi?
Yaani walivyomkuta yupo hio ilibidi wampe chakula pale pale angeamka.
Wenzake ni wajanja walikuwa wakitoka kwenye maombi wanapiga msosi.
Biblia imesema tutafufuka siku ya mwisho sasa inakuwaje yeye afufuke trh 8 mbona leo trh 17?
Yeye alitaka kufa ili afufukemy friend mi huwa nafunga mpaka zile arobaini za kwaresma ila huwa najiangalia na natumia akili,yaani mtu mpaka unaona fyuzi zinakatika?mtu mpaka anaanguka kanisani hiyo ni akili?mtu unafunga mpaka unashindwa kuomba ebu nambie mtu njaa imekuzidi utapata wapi kumwomba Mungu?
Mda mwingine akili ni muhimu