Mrao keryo
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 1,901
- 2,566
Aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama kafa kishujaa ni vyema na wao wangefuata mfano wake. Vibwetere hawaishi hapa Duniani.Wabishi hao, watakwambia amekufa kishujaa
mm navo jiona siku 5 sifikishi😂😂😂Mwanamke ni siku saba ndo anaaga dunia kwa sababu mwili wake una matiti(maziwa)yanasaidia akae kwa huo muda/siku akiwa mzima bila kula[emoji2]
Mwanaume siku tano tu chali inakuwa kwa heri mwalim[emoji2]
Habari za asubuhi mpendwa luckyline
Nipo mpendwa wangu.@Rumaiya Bibie upo asubuhi njema
Afadhali kafa yeye steering na picha linaishia hapo hapo kende malamu.Abdel Raphael (42) Mkazi wa Mtaa wa Uwanja halmashauri ya mji Geita amekutwa amefariki ndani kwake akiwa kwenye mfungo wa siku 30 akitarajia kufufuka Desemba 8.
Mmoja wa waumini waliokuwa wakishiriki ibada ya pamoja na marehemu ambaye alikuwa mchungaji wao anasema marehemu aliwaaminisha kuwa ifikapo Desemba 8 atafufuka lakini kufikia siku hiyo akawa amefariki na mwili wake kuharibika.
"Tulikuwa tumefunga tangu tarehe 28 mwezi wa 11 ilivyofika tarehe 2, kwenye chumba chake cha maombi kumcheki alikuwa mzima, tarehe 3 kwenda kumwangalia ile hali ilitutisha tukakuta ameanguka kitandani, yupo kifua wazi, yupo kwenye bukta, ikabidi tumkusanye miguu, tumuoshe vizuri. Tukamfunika mdomo, macho vizuri, tukamlaza vizuri, halafu tukaenda kutoa taarifa katika uongozi wa mtaa kwa ajili ya taratibu zinazofuata", amesema Jumanne Zuberi ambaye ni muumini mwenzake.
View attachment 2447111
Chanzo: East Africa Radio
Wenzako wanaita funga kavu🙌Aiseee tule mbinguni hakuna hotel.
Mimi ninavyojua mtu akifunga si jion anafungua anakula? Ilikuwaje marehemu hakula hata kidogo?
Wachungaji wa SGRMambo mengine ni ya kujitakia tu. Mchungaji gani hata familia hana!
Nilihudhuria harusi moja , kabla ya sherehe tulikuwa na pilika za maandalizi huku tumechanganyika wanaume na wanawake. Mara ghafla likawekwa pazia eti kutengenisha wanaume na wanawake huku bibi harusi na bwana harusi wamekaa pamoja. Baada ya harusi watu wakachanganyika tena wanapiga stori. Wale ndugu zangu niliwachana live, waache huu upuuzi. Watu mmekuja mmechanganyika huko kwenye magari binafsi, daladala, siku za vikao mko pamoja halafu ghafla mnaweka pazia, ili iweje? Huko makazini mnachanganyika , misibani etc . Nadhani hawatarudia tena huu ujingaMimi nikiona mtu yupo deep sana kiimana namkalia mbali. Afrika wamekuwa wajinga mno na haya mambo ya kiimani.
Hata kama lingekuwepo unatakiwa utumie akili. Hivi itakuwaje nikikaa siku 30 bila kula? Mungu aliyeumba vyakula hakuwa mjinga. Wewe utoke tu huko ufunge siku sijui 20, huko ni kujiua kwa kukusudiaKuna andiko lolote linasema afanye hivyo au amejizulia tu mwenyewe?
Kama hakuna andiko linalotoa hayo maelekezo basi amejiua mwenyewe na njaa
Hawa sio stress ni matatizo ya Afya ya akiliStress mbaya sana
😂 😂 😂 😂 😂 Haya ndio matatizo ta afya ya akili sasaLakini kwa yule aliye na imani ya kutosha, kifo sio kitu cha kuogopa, kifo kinaogopwa na wenye dhambi.