Afariki akiwa kwenye mfungo wa siku 30, aliahidi kufufuka Desemba 8

Hivi kanda ya ziwa kuna shida gani psychiatric cases ni nyingi mno au kwa kua mnaamini mna akili nyingi?
 
"In my culture, death is not the end. It’s more of a stepping off point, you reach out with both hands and Bast and Sekhmet, they lead you into a green veld where you can run forever."

King T'challa.
 
Mbona habari ina utata hii,kama alikuwa kwenye mfungo wa siku 30 ilikuwaje akasema atafufuka December 8?ilikuwaje mfungo wa kifo?
 
Kuna watakatifu wake Mungu wanagonga siku 13 - 14 bila ya kula chochote wala kunywa maji, hakika uwezo wa Mungu umepitiliza akili na maarifa yetu sisi Binadamu.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
watu ni wajinga kwakweli nilienda kanisa fulani watu et wanafunga siku saba kavu yaani ni walikuwa na hali mbaya mpaka wengine ni kama akili.zimewaruka
bahati nzuri sikusikia kesi ya kifo ila hali zilikuwa mbaya
Jaribu nawe kufunga hizo siku 7 kavu uone kama Mungu anajaribiwa, hao ni Mashujaa wa imani na hawatakuwa na hali mbaya milele sababu kila jambo huwa lina wakati wake.

MUHUBIRI 3:1-15.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Ukimkuta mtu amekaa muda mrefu bila kupata chakula wala maji usijaribu hata siku moja kumpa chakula ale maana atakufa papo hapo cha kufanya.

Mkorogee glucose kama ipo anywe halafu subiri kama 30 min halafu mpe uji mwepesi lishe wa moto fanya hiyo lishe ya uji kwa wiki angalau moja asubuhi mchana na jioni huku ukiongeza na matunda baada ya hapo ndo aanze kula chakula sasa .

N.b
Ukishamkorogea glucose ni vyema ukamuwaisha kwenye kituo cha afya ili kujiepusha na kesi zisizo na ulazima .

Na jibu lako la kwamba mwanaume (na pia mwanamke) anakaa siku ngapi bila kula ni hili hapa

1. kama akiwa anakunywa maji pekee ataweza kufikisha hadi miezi miwili ila.

2. Kama hanywi hata maji basi wiki mbili ni nyingi
 
Mimi nikiona mtu yupo deep sana kiimana namkalia mbali. Afrika wamekuwa wajinga mno na haya mambo ya kiimani.
Naisi waafrika tuna shida,umeongea kweli,dhana ya dini ni mapokeo na ilikuwepo Toka mababu zetu na pia waliamini huyu mungu tunayemwamini sasa.Tatizo linakuja tunapovuka mipaka na kujiona ni wathamani na pia tunajua zaidi ya muumba wetu.Mungu aliweka chakula na mimea mbalimbali kwa ajili yetu ili itupe energy na tuweze kuishi na kufanya kazi.shida pia inaanzia kwa viongozi wenyewe namna ya kuwapa watu elimu hii.
 
Jaribu nawe kufunga hizo siku 7 kavu uone kama Mungu anajaribiwa, hao ni Mashujaa wa imani na hawatakuwa na hali mbaya milele sababu kila jambo huwa lina wakati wake.

MUHUBIRI 3:1-15.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
my friend mi huwa nafunga mpaka zile arobaini za kwaresma ila huwa najiangalia na natumia akili,yaani mtu mpaka unaona fyuzi zinakatika?mtu mpaka anaanguka kanisani hiyo ni akili?mtu unafunga mpaka unashindwa kuomba ebu nambie mtu njaa imekuzidi utapata wapi kumwomba Mungu?
Mda mwingine akili ni muhimu
 
Mwanaume siku 4 tu anadanja ila sisi ni siku 7
 
Yeye alitaka kufa ili afufuke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…