Afariki akiwa kwenye mfungo wa siku 30, aliahidi kufufuka Desemba 8

Pengine alimaanisha kufufukia mbinguni, na labda imetokea kweli. Wafuasi wake hawakumuelewa.
 
Kuna wajamaa washawahi kuletwa wana siku 13 ziwani bila msosi na walikuwa hai
 

Mama azika mwanae wa wiki mbili akiwa hai || Mchungaji afariki akiwa kwenye maombi ya kufunga.​

 
Waumini walioshuhudia kifo chake inapaswa wachukuliwe hatua za kisheria. Kwanini walipoona ameanza kunyongea wasimpe chakula au nao walifungwa ufahamu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…