Raia wanawaheshimu sana hawa jamaa ila sema BAADHI yao hawajiheshimu na hawajitambui nahisi kwa sababu ya elimu ndogo.Usiniwekee maneno kinywani Kaka! Kwa Bahati mbaya hakuna aliyefanya uchunguzi kujua ukweli wa kilichosemwa! Lakini nasisitiza, Raia tuache dharau Kwa hawa jamaa, wanapitia Mambo magumu mno kuhakikisha Taifa liko salama!
askari polisi mwenyewe hawawagusi hawa jamaa na ndiyo maana wale madereva wa malori huwa wanafurah sana wakiwa na mjeda pemben maana hawatosumbuliwa sana huko njianRaia wanawaheshimu sana hawa jamaa ila sema BAADHI yao hawajiheshimu na hawajitambui nahisi kwa sababu ya elimu ndogo.
Tutawatuma wabunge walizungumzie bungeni hili suala si kwa sababu ya huu uzi ila tumeona mengi saa nyingine mpaka askr polis wetu wanadharrishw na hawa wajing.
Kusumbuliwa kivpaskari polisi mwenyewe hawawagusi hawa jamaa na ndiyo maana wale madereva wa malori huwa wanafurah sana wakiwa na mjeda pemben maana hawatosumbuliwa sana huko njian
kuna jamaa mmoja wa malori wakat wa story za hapa na pale akasema kuwa maana si huwa wanaombaga lift unakuta wengine wanaenda mbali na yupo na sare zake sasa ikatokea walipigwa mkono Dereva kaenda wamechonga wee jamaa haelewi ile anarud kwenye gari yule mjeda akamuuliza vp mbona mnachukua muda sana akamwambia jamaa anataka hela na mm sina na haelewi basi yule mjeda akamwambia hebu subiri hapa hapa nikaongee nao basi baada ya mda anarudi anamwambia twende aisee hajui waliongea nini jamaa akawasha gar motoKusumbuliwa kivp
Huenda yeye au mwenzie alifanya ubaya kwa mtuYule mwanajeshi alikufa kifo kibaya sana.
Ahaa kumbe hivo sawa sawa kakakuna jamaa mmoja wa malori wakat wa story za hapa na pale akasema kuwa maana si huwa wanaombaga lift unakuta wengine wanaenda mbali na yupo na sare zake sasa ikatokea walipigwa mkono Dereva kaenda wamechonga wee jamaa haelewi ile anarud kwenye gari yule mjeda akamuuliza vp mbona mnachukua muda sana akamwambia jamaa anataka hela na mm sina na haelewi basi yule mjeda akamwambia hebu subiri hapa hapa nikaongee nao basi baada ya mda anarudi anamwambia twende aisee hajui waliongea nini jamaa akawasha gar moto
askari polisi mwenyewe hawawagusi hawa jamaa na ndiyo maana wale madereva wa malori huwa wanafurah sana wakiwa na mjeda pemben maana hawatosumbuliwa sana huko njian
Naunga mkono hojaWeWe ni mpumbavu
Ni ulimbukeni tu unawasumbua, angalia sasa ananyea debe.Utawafanya nini sasa?!!! Omba usiingie anga zao!
damu ya mtu haiendagi bureDaah anampa adhabu mtu mwenye miaka 60 ili iweje Tanzania imejaaa vijana wasio na malezi ya wazazi wote wawili hili ndio tatizo ni ngumu kwa kijana alielelewa vizuri na kummcha Mungu harafu akafanya upuuzi huo hata angekua na vyeo gani? hiyo Karma ya kuua mtu itatafuna uzao wake bila yeye kujua...
Wanajeshi wamehitimu shule?Juzi walikaribia kumtesa mtu mmoja asiyekuwa na hatia pale makongo.
Jamaa alikuwa anatokea mwenge. Alipofika pale Getini VTC lugalo akakaomba msaada askari mmoja mlevi naye akamuita ndani wakaanza kumpiga
Ati wanamuuliza una simu kama hii halafu u makosa nauli?
Pumbavu sana hawa