green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
Ungekuepo enzi za Nyerere ungeshatolewa rinda kwa kupenda vyeosasa jee mwanajeshi yoyote hakuna kitu ana taman kama manyotaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungekuepo enzi za Nyerere ungeshatolewa rinda kwa kupenda vyeosasa jee mwanajeshi yoyote hakuna kitu ana taman kama manyotaaaa
hawa jamaa sitaki hata kukaa nao jirani, kuna jama alilishwa wali maharage vimejaa kwenye ndoo ya lita 10Ila hawa jamaa hawa dahView attachment 2075614
Wana fanyaga mambo ya hovyo sanaWanajeshi tunawachekea sana. Kuna watu unakuta wanakaa wanasifia hivi vitendo vyao vya kishenzi.
..usitudanganyeSio kweli huku Zenji wala hawaogopeki kma mnavowaogopa huko Bara
Kweli shule ndo mpango mzimaHuu ni ushenzi na ushetani.
Hawa la saba na form four leaver wastaafishwe kwa lazima.
Miaka hii bado mtu anatumia nguvu kutatua matatizo
Hawaja mzidi mtu mamlaka, kila mtu ana simama ktk upande wakeIfike wakati tuheshimu watu na kuacha kufanya vitendo vya kionevu hata kama tumewazidi wengine mamlaka.
Mimi siwaogopi hata kidogojamii nzima inawaogopa hawa watu ujue
Pole mpenzi...usiwachukie walinzi wa nchi yetu.Sijui kwa nini siwapendi Hawa viumbe,,yaani hata mwanaume akiwa handsome, educated,mstaarabu au ana mafanikio kiasi gani sitaki kabisa mazoeo nao....sijui huwa wanajionaga Nani yaani
Mkuu mafunzo ya askari jeshi ni kuua.badala ya kumlinda raia wake Ina muua
Askari wa hivi anaendelea kulipwa salary ya nini? Hili ni la kupigiwa kelele afutwe Kazi na kushtakiwa.Wanajeshi tunawachekea sana. Kuna watu unakuta wanakaa wanasifia hivi vitendo vyao vya kishenzi.
Bro ebu punguza ulimbukeni kwenye vitu serious, au bado una utoto mwingi haujakutoka!! Mtu yoyote anaechukua kitu Cha mwenzia billa kuomba huo ni wizi na unyanganyi!!Ndo muache dharau za kishenzi sasa! Halafu mwanajeshi hawaibi! Wanachukua![emoji3][emoji3]
Hivi wwe hujui kua kuna raia ambao ni Majasusi, ukiingia kwenye angaa zake ukaleta za kuleta kisa wwe Mwanajeshi anaweza akaamaliza familia yako yote alafu akabaki anakuangalia Sasa utaishi vp Maisha yako bila familia yako!!Raia mtaongea Mambo mengi Sana, lakini ieleweke Mwanajeshi siyo Raia Kama wewe!
Mara nyingi ni wale vijana ambao bado wana ulimbukeni wa kila kitu!!hivi hawa mapot ni wakina nani hasa
tuanzie hapo kwenye mafunzo ya kuua ya kujiuliza huwa wanafundishwa kuua nani,wakati gani na kwa nini anafikia hadi hatua ya kuua??Mkuu mafunzo ya askari jeshi ni kuua.