TANZIA Afariki dunia akigombea usafiri kituo cha daladala Makumbusho

Apumzike kwa Aman aseee so Sad!. Hapo kavuka barabara vizuri asigongwe halafu anafia mlangoni😔
Uhai wa mwanadamu ni fumbo, kikubwa tuupokee ukweli wa kwamba muda wowote unaweza kuondoka bila kujalisha U wapi na unafanya nini.
 
uchumi wa kati. watu Dar usafiri ni mgumu kuliko miaka ya 80
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…