KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Aisee!!!Jembe kwenye kampeni za uchaguzi mkuu 2020👇
View attachment 2079592Jembe 2022 baada ya kuingia Ikulu👇🐒
View attachment 2079595
Umasikini ndio utamaduni wetuTanzania masikini wamefurika kila mahali, licha ya utajiri uliopo Tanzania nzima
TuukataeUmasikini ndio utamaduni wetu
Serikali zote zinapwaya. Ni ngumu kuexcel katika kila sektaUjue serikali yetu inapwaya.!
Nimeshaa hadi akina mama bush kwetu wanashangaa madudu ya mtawala mwanamke.
[emoji28]kweli kabisaHalafu Eti Kuna watu kitoka Mataifa mengine wanakuja kujifunza Ubora wa DART!
AFRICA Kuna sehemu tunahitaji maombi!
Hii kitu hata mie nilibaki kinywa wazi, tena kama ni maombi basi yakufunga na kuomba.Halafu Eti Kuna watu kitoka Mataifa mengine wanakuja kujifunza Ubora wa DART!
AFRICA Kuna sehemu tunahitaji maombi!
Ya huyu mwanamke imezidi mno. Kila siku anatoa maagizo tu hajui hata kufanya analysisSerikali zote zinapwaya. Ni ngumu kuexcel katika kila sekta
Chanzo kugombea gariHilo halina tofauti na kifo chochote Cha gafla Maana itakuwa alipata mshituko wa moyo au pressure au sukari ilikuwa juu sana Ni muhimu kupata elimu ya namna ya kufahamu miili yetu vizuri kuanzia mtu unapotoka nyumbani usichukulie POA kabisa ..sukari inau watu wengi Sana saiv
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mambo ya ajabu sanaR.I.P
kuna wengine wanapata hela ya kula kupitia shida ya usafir jamaa anawahi kiti ukitaka kukaa anakwambia nipe buku ukae[emoji848][emoji848]
Hapa huyu raisi alikuwa ni mgeni. Sasa cdm wanatakiwa waichukue hii clip kwenye kampeni zaoKwa mara ya kwanza tokea nizaliwe nimemuona Rais wa nchi akihamasisha ufisadi kwa serikali yake katika TV ya Taifa😁😁😁
Anawaambia mawaziri wake kuwa wajipimie😁View attachment 2079834