Afghanistan: Serikali ya Taliban yapiga marufuku Binadamu na Wanyama kuonekana kwenye Televisheni

Na Torah, inayasema hayo. Kiufupi wanafanya Jambo jema kulingana na Torah
 

Watu wa mudi katika ubora wao. Hapo wangesema wanapiga marufuku luninga na kubakiza redio tu.

Tukisema mudi ni janga kwa dunia muwe mnaelewa.
 
Ya kaythar mwachie kaythar....kuna mataifa jinsia moja kupigana miti ni halali kabsa....

Ata Tnz kuna maajabu yake kuliko hayo...
 
Jamaa wanaishi mwaka 1200 ..haya maimani mengine ni tabu sana.
1.Afghanistan haidaiwi na world bank wala IMF,......yaani Ina zero debt........
2.Jeshi la Taliban limeweza kupambana na majeshi ya NATO na kuwafurusha na wamebaki na nchi yao wakizisimamia rasilimali zao zote
Je!Afghanistan na Africa/Tanzania ipi inaishi mwaka 1200?
😀😀
 
Hawa ndio makafiri haswa
 
Hii hata wenzao hawata ikubali
 
Hapo mtu ukipata nafasi lazima ukimbilie Ulaya na America.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…