nyimwa vyote sio akiliWana changamoto za akili.Kadiri ndevu zinavyochomoka videvuni ndivyo zinavyotoka na ubongo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nyimwa vyote sio akiliWana changamoto za akili.Kadiri ndevu zinavyochomoka videvuni ndivyo zinavyotoka na ubongo.
Ni kweli mkuu kwa sababu ile ni protein.. wehu sana Hawa watuWana changamoto za akili.Kadiri ndevu zinavyochomoka videvuni ndivyo zinavyotoka na ubongo.
Anasubiri ubwabwa kwa shauku kubwa sana.
Na Torah, inayasema hayo. Kiufupi wanafanya Jambo jema kulingana na Torah😂😂😂
Huwezi kuamini Taliban ndio wanaitafiri dini ya kiislam kwa usahihi wake.
Juzi walipiga maarufu wanawake kuongeleshana ama mwanamke kuongea na mwanamke mwenzake.
Walipiga maarufu watu kunyoa ndevu, ni marufuku kunyoa ndevu na wakatangaza kufunga saluni zote nchi nzima. Sijui kama jamaa wananyoa hata mavuzi.
Walipiga maarufu saluni za kike.
Walipiga marufuku wanawake kutembea mtaani, mwanamke anatakiwa kua ndani muda wote kama utumbo.
Wapige marufuku magari, simu, redio, tv, bunduki, vitanda, magodoro, na kila kitu.
Kupitia vyombo vya habari Kundi la Taliban linaloongoza Serikali ya Afghanistan limepiga marufuku Binadamu na Wanyama kuonekana kwenye Televisheni katika maudhui ya aina yoyote kuanzia Matangazo ya Taarifa ya Habari na burudani nyinginezo na badala yake vioneshwe vitu kama majengo, magari na miti, na vitu vinginevyo, Sauti tu ya mtangazaji ndio isikike ikitangaza ila binadamu anayetangaza hasionekane wala mnyama wa aina yoyote kuonekana kwenye luninga.
Taliban wamesema sheria hiyo inatokana na maandiko ya kiislamu yanayojulikana kama "Sharia Law". Taliban waliongeza kuwa picha za wanyama na sura za watu kwenye Televisheni utumika kwenye Siasa za Ulaya na Marekani. Hivyo ni marufuku Televisheni kuonesha sura na umbo la binadamu na mnyama kwenye Televisheni.
Maafisa wa serikali hawatakiwi kuonekana kwenye Televisheni wakati wa kutoa hotuba au maelezo, sauti zao tu ndio zisikike.
Baadhi ya Waafaghan wamepinga hatua hiyo na kusema unaminya uhuru wa kutoa habari ususani za mahojiano.
View attachment 3160807
Takbir sheikh sisi waislamu ni deen ya haaqiAnasubiri ubwabwa kwa shauku kubwa sana.
Ivi Kumbe ndo mana hawanyoagiii. Eti watakatia chini ubongo wao. Kha!Wana changamoto za akili.Kadiri ndevu zinavyochomoka videvuni ndivyo zinavyotoka na ubongo.
1.Afghanistan haidaiwi na world bank wala IMF,......yaani Ina zero debt........Jamaa wanaishi mwaka 1200 ..haya maimani mengine ni tabu sana.
Unfortunately hao waarabu waislam ndio walioleta tools kama jahazi na kujenga nyumba ukanda wa pwaniDunia ingekuwa ya waislam pekee hadi Leo tungekuwa tunapanda ngamia na punda
Watu wa pwani walikuwa wanaishi kwenye miti na mapango!?Unfortunately hao waarabu waislam ndio walioleta tools kama jahazi na kujenga nyumba ukanda wa pwani
Hawa ndio makafiri haswaKupitia vyombo vya habari Kundi la Taliban linaloongoza Serikali ya Afghanistan limepiga marufuku Binadamu na Wanyama kuonekana kwenye Televisheni katika maudhui ya aina yoyote kuanzia Matangazo ya Taarifa ya Habari na burudani nyinginezo na badala yake vioneshwe vitu kama majengo, magari na miti, na vitu vinginevyo, Sauti tu ya mtangazaji ndio isikike ikitangaza ila binadamu anayetangaza hasionekane wala mnyama wa aina yoyote kuonekana kwenye luninga.
Taliban wamesema sheria hiyo inatokana na maandiko ya kiislamu yanayojulikana kama "Sharia Law". Taliban waliongeza kuwa picha za wanyama na sura za watu kwenye Televisheni utumika kwenye Siasa za Ulaya na Marekani. Hivyo ni marufuku Televisheni kuonesha sura na umbo la binadamu na mnyama kwenye Televisheni.
Maafisa wa serikali hawatakiwi kuonekana kwenye Televisheni wakati wa kutoa hotuba au maelezo, sauti zao tu ndio zisikike.
Baadhi ya Waafaghan wamepinga hatua hiyo na kusema unaminya uhuru wa kutoa habari ususani za mahojiano.
View attachment 3160807
Wanatumia bunduki za makafiri kutawala kwa nguvu, hizo hawawezi kuzipiga marufuku.Wapige marufuku magari, simu, redio, tv, bunduki, vitanda, magodoro, na kila kitu.