Afghanistan: Talibani imepiga marufuku wanawake kuongea ama kubadilishana mawazo. Marufuku mwanamke kuongea na mwanamke mwenzie

Sasa Hawa ndio wanaume wenyewe hapa duniani. Walishajua kuwa mwanamke kamwe asipewe uhuru wee mkandamize tuu. Big up Taliban😍😍😍
Sio kila uhuru ni haki, kule magharibi walipoeka uhuru kwa mwaname anaweza kuolewa na mwaname mwenzake mukaja juu na kupinga, kwanini munapinga na ni uhuru???

Kuna mambo mwanamke anakatazwa lakini utakuta faida inarudi kwake mwenyewe yaani anapendelewa yeye mwenyewe
 
Hakuna
Hakuna nilicho kashifu.......ila waislam wenyewe ndio mnaojitoa akili kusema wanawake wasisome,wasiongee na watu ambao sio wenza wao......hivi kama hajaolewa atakuwa anaongea na nani?? Wasiendeshe gari ,wasiende mjini peke yao .....hata kama ni kwenda kununua chupi au sidiria na pedi je unataka muongozane?? Ukweli utakuweka huru hiyo dini ni kisanga.........imemweka mwanamke kama kipande cha burudani na hana msaada wowote zaidi ya kukutoa nyege.........hivi hamuoni madaktari wanawake harafu unakuta eti mimi mke wangu anatibiwa na daktari wa kike sasa mkiwakataza kwenda shule huyo daktari atatoka kwa Allah? Viko vingi ambavyo vinatia kinyaa kwenye hiyo dini yenu ......harafu mnajitamba ndio dini iliyo kamilika ........labda kufugia majini
 
Mtume Muhammad alifundisha uislam kuheshimu wanawake ndio mana aliwambia mama ana daraja tatu juu ya baba. Sa hawa Talibani hio sio dini ya kislam hao wanafata fake hadith za kimzulia Bukhari kasema πŸ˜„

Mtume Muhammad alikataza kuchunguza ya watu. Kuwashakia watu. Lini Mtume Muhammad alisema wanawake hawaruhusiwi kuongea wao kwa wao? Lini Mtume Muhammad alikataza wanawake wasionyeshe sura zao unless kuwa na reason.
 
Ni huyu huyu Muhamandi aliye mfananisha Mwanamke na Mbwa mweusi au ni Muhammadi mwingine ?

Sunan Ibn Majah 952
It was narrated from β€˜Abdullah bin Samit from Abu Dharr, that the Prophet (ο·Ί) said:
β€œThe prayer is severed by a woman, a donkey, and a black dog, if there is not something like the handle of a saddle in front of a man.” I (β€˜Abdullah) said: β€œWhat is wrong with a black dog and not a red one?” He (Abu Dharr) said: β€˜I asked the Messenger of Allah (ο·Ί) the same question, and he said: β€œThe black dog is a Shaitan (satan).”

Yaani hadhi ya FaizaFoxy, ni sawa na Mbwa mweusi.
Mbwa mweupe na wa rangi nyingine wana hadhi kubwa kupita FaizaFoxy,
Na yeye anakubali bila shaka kuwa kundi moja na Mbwa wausi.
 
Huyo labda wa mitaa yenu Mtume Muhammad aliwatukuza wanawake.
 
πŸ–ivi inamaana Afghanistan yote hakuna ngurue hata mmoja ?
Unaweza kupata kwa magendo kama madawa ya kulevya ambapo kilo ya nyama yake inaweza kufikia kiasi cha laki unusu kwa fedha za Tanzania
 
Maelezo Yako shekh yanathibitisha pasina shaka talibani wako sahihi100%.

Ulichokifanya wewe ni kutupaka mafuta Kwa mgongo wa chupa.

Hoja uliyo ing'ang'ania kuwa wake wa mtume walikuwa wanaongea na wanaume kwenye pazia. Huoni hapo hawakuhitaji kabisa waonekane?

Kama ni sawa na kawaida kwanini kuwepo na mapazia Tena Wakati wa mazungumzo?

Kwahiyo wewe na Talibani yupi mwenye dini yake maana wao wanasema kile kilichoandikwa effectively............Talibani wako sawa kwa mujibu wa dini yenu.

Hata hapa tu marakadhaa nimesikia mawaidha yenu yakisema mwanaume kunyoa ndevu haitakiwi. Wengine wanaenda mbali zaidi na kuzipaka breach.
 
Weka andiko kama nilivyo weka mimi la huyo mtu kumtukuza mwanamke.
Katika Khutuba yake ya Mwisho Mtume Muhammad aliusia haya;

Enyi Watu, ni kweli kwamba mna hakika haki kwa wanawake wako, lakini pia wana haki juu yako. Kumbukeni kuwa mmewafanya wake zenu ila kwa amana ya Mwenyezi Mungu na kwa idhini yake. Wakishikamana na haki yako basi ni kwao haki ya kulishwa na kuvishwa wema. Watendeeni wema wanawake wenu na watendeeni wema kwa kuwa wao ni washirika wenu na wasaidizi waliojitolea. Na ni haki yako kwamba wasifanye urafiki na yeyote usiyemridhia, na vilevile wasiwe kahaba.


View: https://youtube.com/shorts/JSs41McoIxc?si=se3Td9ytVBGwlsaI
Angalia adabu za Muislam kwa mwanamke, nyie mnaheshimu wanawaje vile

View: https://youtube.com/shorts/_eX_lfgaIiI?si=vce1VJGEb2RES1vW
 
Hapa nitakujibu yale ambayo sijajibu maana wajibu wangu ni kueleza ukweli kuhusu wewe unaamini au huamini sio tatizo langu ni lako

Kama nilivyosema hapo awali kwamba kuna mambo ya lazima [faradhi] na ambayo sio ya lazima [sunna] sasa kufuga ndevu ni sunna

Kuhusu kupaka breach ni sunna iwe ya rangi ambayo sio nyeusi,kwa maana nyingine si katika sunna kupaka piko iwe katika kichwa kama kina mvi au ndevu,haturuhusiwi kupata piko ili nywele ziwe nyeusi au hata ndevu ziwe nyeusi

Asante
 
Hapo nimekuelewa kuwa Kuna Sunna na faradhi.copy
 
Sasa Hawa ndio wanaume wenyewe hapa duniani. Walishajua kuwa mwanamke kamwe asipewe uhuru wee mkandamize tuu. Big up Taliban😍😍😍
🀣🀣 Wanajua mwanamke alipewa uhuru mwanaume hawezi kuwa salama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…