EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Tukisema hii dini ni ya HOVYO mnatushambulia haya oneni sasa[emoji35][emoji35][emoji35]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
... wanadai ni sunna kupaka madevu hiyo hinna. Wasomali wanapenda sana.Inaitwa Hinna
... wanadai ni sunna kupaka madevu hiyo hinna. Wasomali wanapenda sana.
Nimesikia kwamba tayari wameshaanza kughubikwa na njaa ambayo tayari imeathiri takriban watu milioni tatu.
propaganda
Taarifa yoyote inayotoka kwa Miss Zomboko ni kweli we mfwatilie.Hii Taarifa sidhani kama ni ya kweli.
Wapiganaji wa Taliban wamepiga marufuku , vinyozi katika mkoa wa Helmand nchini humo kutowanyoa au kuwapunguza ndevu wanaume, wakisema hatua hiyo inakiuka sheria ya Kiislamu.
‘’Mtu yoyote anayekiuka sheria hiyo ataadhibiwa’’ , Askari wa Taliban wamesema. Baadhi ya vinyozi katika mji wa Kabul wamesema kwamba pia wao walipata maagizo kama hayo. Maagizo hayo yanasema kuhusu kurudishwa kwa sheria kali kama zile zilizokuwepo wakati kundi hilo lilipokuwa madarakani awali , licha ya ahadi ya kwamba litaanzisha serikali itakayokuwa na misimamo ya wastani.
Tangu ilipochukua madaraka mwezi uliopita, Talibani imewapatia adhabu kali wapinzani wake. Siku ya Jumamosi , wapiganaji wa kundi hilo, waliwapiga risasi na kuwaua watekaji wanne na miili yao kuzungunshwa katika barabara ya mkoa wa Herat.
Katika ilani iliochapishwa katika saluni, kusini mwa mkoa wa Helmand , maafisa wa Taliban walionya kwamba vinyozi lazima wafuate sheria ya Kiislamu katika kunyoa nywele za kichwani na ndevu. Hakuna hata mtu mmoja aliye na uwezo wa kulalamika, ilisema notisi ilioonekana na BBC.
"Wapiganaji hao wanaendelea kuja na kutuagiza kutonyoa ndevu’’, alisema kinyozi mmoja mjini Kabul’.
Mmoja wao aliniambia kwamba wanaweza kutuma maafisa kuchunguza ili kutukamata. " Kinyozi mwengine , ambaye anasimamia mojawapo ya saluni kubwa , alisema kwamba alipokea simu kutoka mtu aliyesema ni afisa wa serikali.
Walimtaka kutofuata mitindo ya Marekani na kutowanyoa watu ndevu zao. Wakati wa uongozi wa kwanza wa Taliban kuanzia 1996 hadi 2001, Kundi hilo lilipiga marufuku mitindo tofauti ya nywele na kusisitiza kwamba wanaume wafuge ndevu. Lakini tangu wakati huo, unyoaji wa ndevu na nywele fupi miongoni mwa wanaume wa Afghan umekuwa maarufu.
Taarifa yoyote inayotoka kwa Miss Zomboko ni kweli we mfwatilie.
Tusibishane asubuhi muda wa kazi fwatilia taarifa zote anazotoa huyo dada ni kweli halafu hayuko biased and she writes with ultimate professionalism.Kwakuwa inawalenga waisilamu ndiyo ya kweli
Kweli fursa hiyoMnaotaka uislam nasharia za Allah fursa ndio hio mhamie Afghanistan mtuache wengine huku tujinywee pombe
Huko lazimayatakuja walazimisha kila mwanamme awe na kimada sasa
Tena huko wanakojifanya wanakimbilia baadaye wataleta shida na vipedo vyaoHii ndio dini hatari duniani na inatishia kuenea dunia nzima tayari imejikita kwenye mataifa makubwa ulaya na amerika
Ujerumani waliwakaribisha ili wapate wafanyakazi wengi kwenye viwanda vyao, kwenye uchaguzi uliopita vile vyama ndugu vyenye majina yasiyohusiana na imani yao vimeanguka vibaya kwa kukosa kura za kuunda serikali. Kura wamepigia vyama ambavyo havijinasibu na imani isiyo yao, ina maana wanapata nguvu kuitawala ulaya ki ulaini kadiri miaka inavyokwenda wanafanya mageuzi kwenye mifumo ya kisiasa maana watakuwa ni raia halali wa mataifa waliyohamia na wanashiriki kwenye maamuzi ya kisiasaTena huko wanakojifanya wanakimbilia baadaye wataleta shida na vipedo vyao
Sent using Jamii Forums mobile app
Anitwa Mola Mlezi.... tembea nao mola wako ni mjuvi wa wajuvi; je, haikumpendeza wa kiumeni wawe na nywele safu safu kukihusuru kinywa? Mola wako ni mjuvi wa yote!