Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali zuri umeuliza kabla hujatukana mkuu "Maana ya 'kafiri' ni kila asiekuwa Muislamu. Kama kuna mtu anakereka na kukwazika kwa kuitwa kafiri, njia ya kuepukana na hilo awe MuislamuKafir ni nini, tuanzie hapo kwanza kabla sijakutukania mama yako.
Kwa hiyo hukumu ya asiyekua muislam ni kuchinjwa?Swali zuri umeuliza kabla hujatukana mkuu "Maana ya 'kafiri' ni kila asiekuwa Muislamu. Kama kuna mtu anakereka na kukwazika kwa kuitwa kafiri, njia ya kuepukana na hilo awe Muislamu
Sitaki kusaidiwa na watu mnaochinja watu kama kukuKwaiyo iyo aya ndiyo maana yake "usitulazimishe ugaidi wako hapa? [emoji16] kama hujui omba usaidiwe mkuu.
Sitaki kusaidiwa na watu mnaochinja watu kama kuku
Kwa hiyo hukumu ya asiyekua muislam ni kuchinjwa?
Waislam wanaodai dola ya kiislamKina nani hao wanachinja kama kuku mkuu?[emoji16]
Huko alipo atakuwa anatabasamu huku anakuna Kikwapa.😝😝😝😝kimsboy
Nashughulikia viza yako, ukaishi Afaghanistan. Huko utaishi kwa raha mustarehe na kufuata nguzo za uislamu
Nchi gani iyo?Waislam wanaodai dola ya kiislam
Tukisema hii dini ni ya HOVYO mnatushambulia haya oneni sasa[emoji35][emoji35][emoji35]
Nahuku si mtangaze kutonyoa ndevu si ni nguzo zenu au?Wayahudi waliomsurubu yesu wenu na kutomtambua na kuukana ukristu isiperekee kutukana na kutoheshimu imani za wengine.
We usijifanye mwehu wewe, nahisi wewe ndiye yule mwarabu koko ambaye anaongozana na kale katoto kadogo ambako kana kanzu chafu, kazi yako ni kuwakabidhi wale mlioamua kuwachinja na kenyewe kanamalizia kukata upanga shingoni huko Congo. na mtakufa vifo vibaya sana paka nyie!!Nchi gani iyo?
Itafanana na zizi lililojaa mabeberu.Hivi nchi ambayo wanaume hawanyoi ndevu baada ya mwaka inakuwa inafanana vp?
ikiwa ya kweli, itakua ni nzuri au mbaya?Hii Taarifa sidhani kama ni ya kweli.
Sidhani kama wataliban hawajaangalia katika angle hiyo, navyojua walivyoweka kipaumbele kwenye miiko ya dini nadhani kuna fungu limetengwa kufadhili sabuni kwa vijana waepukane na uchafuUsafi ni moja ya Ibada
Wasipopunguza na kuuaachia yajiotee tu ni uchafu
Siamini hii habari
Wataliban wamewapa wananchi freewill ya kuchagua eidha wasinyoe wawe huru au wanyoe ndevu kisha waadhibiweUislamu so dini ya haki, mtu huna Uhuru hata wa kuamua juu ya ndevu zako mwenyewe
Umeniwahi kuuliza hili swali[emoji1787][emoji1787]Vuzi je? [emoji12]
Kama mzee mchonga alivyo waingiza chaka wazanzibar[emoji1787].aliaanza kwa mambo machachee ya muungano, baadae kilichofuataa ni ukolonii wa tanganyika kwa zanzibarSharia za Kiislamu zimeficha uovu mwingi sana.
Mambo wanayo fanya makundi ya Kigaidi ya Kiislam yote yapo kwenye Sharia za Kiislamu. Ingawa mengi hayapo kwenye Qurani.
Sharia za Kiislamu sio za hiari bali ni lazima.
Hapa kwetu walianza chokochoko za Mahakama ya kadhi kwa kusingizia kuwa watajikita na baadhi tu ya mambo kama Mirathi, Ndoa na Mambo ya Dini kama Mavazi ya Staha.
Lakini hakuna mahali katika Uislamu panaposema fateni maagizo machache ya Sharia za Kiislamu.
Kuchagua mambo matatu tu ilikuwa gia tu ya kuanzia, Sharia inabidi zifuatwe zote.
Wangeanza na matatu, kesho wanaongeza manne, keshokutwa kumi, mwisho kama wakipata nguvu ya kutawala wanayaingiza yote kwa nguvu tena kwa hata wasio kuwa Waislamu.
Hii janja janja ndio inayotufanya sisi tusiokuwa Waislamu kukataa kwa nguvu zote mambo ya Mahakama ya Kadhi.
Mioyoni tunajua hii ni gia tu ya kuifanya Nchi kuwa.
Islamic State.
Ndevu haijawahi kuwa uchafu.Hao Taleban wanalazimisha watu wafuge mauchafu kama wao.