Afghanistan: Vinyozi wapigwa marufuku kuwanyoa au kuwapunguza ndevu wanaume

Afghanistan: Vinyozi wapigwa marufuku kuwanyoa au kuwapunguza ndevu wanaume

Talibani ni kiboko na hawawezi kufutwa maana USA alitumia nguvu kubwa sana mpaka kaamua mwenyewe kuwaachia Nchi hao ni wahuni tu wansichafua dini ya kiislamu kutwa kuchinjana dini dani inaruhusu hayo mambo...
 
Talibani ni kiboko na hawawezi kufutwa maana USA alitumia nguvu kubwa sana mpaka kaamua mwenyewe kuwaachia Nchi hao ni wahuni tu wansichafua dini ya kiislamu kutwa kuchinjana dini dani inaruhusu hayo mambo...
Watafutana wenyewe kwa wenyewe, umeona juzi ISIS-K walivyopiga bomu misikitini, wakati wa swala. Kazi kwao Taliban, walidhani kuongoza nchi ni kula wali kwa paratha!
 
Back
Top Bottom