Afghanistan: Vinyozi wapigwa marufuku kuwanyoa au kuwapunguza ndevu wanaume

Tukisema hii dini ni ya HOVYO mnatushambulia haya oneni sasa[emoji35][emoji35][emoji35]
 
Watu wanahamishiwa Magoli ili wasahau kuhoji imekuaje ma Drone yameshindwa kusambaratisha Waasi wavaaa makubazi
 
Mazombi katika ubora wao na dini yao....
 
Vuzi je? 😜

 
Tena huko wanakojifanya wanakimbilia baadaye wataleta shida na vipedo vyao

Sent using Jamii Forums mobile app
Ujerumani waliwakaribisha ili wapate wafanyakazi wengi kwenye viwanda vyao, kwenye uchaguzi uliopita vile vyama ndugu vyenye majina yasiyohusiana na imani yao vimeanguka vibaya kwa kukosa kura za kuunda serikali. Kura wamepigia vyama ambavyo havijinasibu na imani isiyo yao, ina maana wanapata nguvu kuitawala ulaya ki ulaini kadiri miaka inavyokwenda wanafanya mageuzi kwenye mifumo ya kisiasa maana watakuwa ni raia halali wa mataifa waliyohamia na wanashiriki kwenye maamuzi ya kisiasa
 
... tembea nao mola wako ni mjuvi wa wajuvi; je, haikumpendeza wa kiumeni wawe na nywele safu safu kukihusuru kinywa? Mola wako ni mjuvi wa yote!
Anitwa Mola Mlezi.
Allah huyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…