... hwakawii kutetea ujinga ndevu kwa mwanaume zinazuia maradhi fulani fulani. Aliyeziumba hakuwa mjinga.Anitwa Mola Mlezi.
Allah huyo.
Usimsahau bi faiza fox kule ataishi kwa raha sana.kimsboy
Nashughulikia viza yako, ukaishi Afaghanistan. Huko utaishi kwa raha mustarehe na kufuata nguzo za uislamu
Uislam taab kweli kweli.Wapiganaji wa Taliban wamepiga marufuku , vinyozi katika mkoa wa Helmand nchini humo kutowanyoa au kuwapunguza ndevu wanaume, wakisema hatua hiyo inakiuka sheria ya Kiislamu.
‘’Mtu yoyote anayekiuka sheria hiyo ataadhibiwa’’ , Askari wa Taliban wamesema. Baadhi ya vinyozi katika mji wa Kabul wamesema kwamba pia wao walipata maagizo kama hayo. Maagizo hayo yanasema kuhusu kurudishwa kwa sheria kali kama zile zilizokuwepo wakati kundi hilo lilipokuwa madarakani awali , licha ya ahadi ya kwamba litaanzisha serikali itakayokuwa na misimamo ya wastani.
Tangu ilipochukua madaraka mwezi uliopita, Talibani imewapatia adhabu kali wapinzani wake. Siku ya Jumamosi , wapiganaji wa kundi hilo, waliwapiga risasi na kuwaua watekaji wanne na miili yao kuzungunshwa katika barabara ya mkoa wa Herat.
Katika ilani iliochapishwa katika saluni, kusini mwa mkoa wa Helmand , maafisa wa Taliban walionya kwamba vinyozi lazima wafuate sheria ya Kiislamu katika kunyoa nywele za kichwani na ndevu. Hakuna hata mtu mmoja aliye na uwezo wa kulalamika, ilisema notisi ilioonekana na BBC.
"Wapiganaji hao wanaendelea kuja na kutuagiza kutonyoa ndevu’’, alisema kinyozi mmoja mjini Kabul’.
Mmoja wao aliniambia kwamba wanaweza kutuma maafisa kuchunguza ili kutukamata. " Kinyozi mwengine , ambaye anasimamia mojawapo ya saluni kubwa , alisema kwamba alipokea simu kutoka mtu aliyesema ni afisa wa serikali.
Walimtaka kutofuata mitindo ya Marekani na kutowanyoa watu ndevu zao. Wakati wa uongozi wa kwanza wa Taliban kuanzia 1996 hadi 2001, Kundi hilo lilipiga marufuku mitindo tofauti ya nywele na kusisitiza kwamba wanaume wafuge ndevu. Lakini tangu wakati huo, unyoaji wa ndevu na nywele fupi miongoni mwa wanaume wa Afghan umekuwa maarufu.
Taarifa ya vyombo vya habari mbalimbali duniani.Huna uhakika unachosema bali umesikia.
Wale ni wanafiki tu, hawezi kwenda huko hata kama unamuua, yuko radhi kwenda Marekani kuliko kwenda kwa hao magaidi.Usimsahau bi faiza fox kule ataishi kwa raha sana.
Na kweli wahamie huko waache kutuchinjia ndg zetu hapo congo na msumbijiMnaotaka uislam nasharia za Allah fursa ndio hio mhamie Afghanistan mtuache wengine huku tujinywee pombe
Hao Taliban ni wahuni tu, hawana lolote kwanza wameirejeshea nchi mikosi tena. Nimesikia kwamba tayari wameshaanza kughubikwa na njaa ambayo tayari imeathiri takriban watu milioni tatu.
Kitakachofuata hapo ni vita vya wenyewe kwa wenyewe wananchi hawatavumilia huo ujinga wao, tusubiri ni swala la muda tu.
Taarifa ya vyombo vya habari mbalimbali duniani.
Uislam taab kweli kweli.
Sababu ya kwamba wewe huitaki taarifa haimaanishi kuwa si kweli.Kwakuwa inawalenga waisilamu ndiyo ya kweli
Nani atake udugu na wewe sasa? Kwa kipi? Ebu kapake hina ndevu hizo.Usitusemee na wengine eti ndugu zetu,,,Kwa taarifa yako tu, hao wacongo na msumbiji kama si waisilamu hawatuhusu, watabakia kuwa ndugu zako wewe katika kristo. Kwa sisi waisilamu hatuna undugu na makafiri kaa utambuwe hilo.
Sababu ya kwamba wewe huitaki taarifa haimaanishi kuwa si kweli.
Nani atake udugu na wewe sasa? Kwa kipi? Ebu kapake hina ndevu hizo.
Hivi wewe na hao wanaoipigania Dini ya Kiislamu ili itawale dunia, na kufuata Sharia zake.Usitusemee na wengine eti ndugu zetu,,,Kwa taarifa yako tu, hao wacongo na msumbiji kama si waisilamu hawatuhusu, watabakia kuwa ndugu zako wewe katika kristo. Kwa sisi waisilamu hatuna undugu na makafiri kaa utambuwe hilo.
Kafir ni nini, tuanzie hapo kwanza kabla sijakutukania mama yako.Usitusemee na wengine eti ndugu zetu,,,Kwa taarifa yako tu, hao wacongo na msumbiji kama si waisilamu hawatuhusu, watabakia kuwa ndugu zako wewe. Kwa sisi waisilamu hatuna undugu na makafiri kaa utambuwe hilo.
We boya kweli wewe! we ulishawahi kufa ukaona!!?Subiri ufe ndio utaona
Lakum dinu kum, wal' ya din! usitulazimishe ugaidi wako hapa!Tumeshawazoea
وَلَنْ تَرْضَىٰ عَنْكَ الْيَهُودُ وَلَا النَّصَارَىٰ حَتَّىٰ تَتَّبِعَ مِلَّتَهُمْ ۗ قُلْ إِنَّ هُدَى اللَّهِ هُوَ الْهُدَىٰ ۗ وَلَئِنِ اتَّبَعْتَ أَهْوَاءَهُمْ بَعْدَ الَّذِي جَاءَكَ مِنَ الْعِلْمِ ۙ مَا لَكَ مِنَ اللَّهِ مِنْ وَلِيٍّ وَلَا نَصِيرٍ
Mayahudi hawawi radhi nawe, wala Wakristo, mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika uwongofu wa Mwenyezi Mungu ndio uwongofu. Na kama ukifuata matamanio yao baada ya ujuzi ulio kwisha kujia, hutapata mlinzi wala msaidizi kwa Mwenyezi Mungu.
Lakum dinu kum, wal' ya din! usitulazimishe ugaidi wako hapa!