Mwalimu wa tuisheni
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 6,602
- 10,801
Hivi mwanamke akiumwa karibu kufa na daktari ni mwanaume hataweza kumtibu...?,. huu ni upumbavu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo ni uongo wa wazi kabisa, watupe uthibitisho wa kisayansi. Unategemea unavyoweka akili zako.Hili ni jambo zuri,hasa kwa kuwa dada zetu siku hizi wanavaa mavazi yasiyo na staha na kutupa vishawishi wanaume..
Ipo makala moja ilitolewa gazetini ikisema uvaaji mbaya wa wanawake unachochea upungufu wa nguvu za kiume..
Ni nchi yao na wana uhuru wa kujiamulia watakavyo.ni wivu tu unawasumbua hao kenge wa Taleban.
Linafanywa lile lenye kuwezekana ndio maana hata nguruwe wanaruhusiwa kura ili kujinusura kufa njaa.Hivi mwanamke akiumwa karibu kufa na daktari ni mwanaume hataweza kumtibu...?,. huu ni upumbavu sana
Wewe unasema nchi zingine wakati hapa hapa yako haya🤣 nchi nyengine zinatabu tupu Sasa nini hiki..
Discussion hufanywa na jinsia moja tu, na ikilazimika kuchanganya wanachukua njinsia me moja kwa kundi la wanawake 3-5 na si kinyume chakeNdio maana watu walikuwa wanabanana wapande ndege kusepa,sasa discussion itafanyikaje?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Shamba lá bwana heri na mbuzi ni wa bwana heri
Nalog off
Si unaona mfano wa mama kapewa nchi hii hatimae anaendeshwa na wasioitakia mema nchi mpaka kiongozi wa upinzani yuko ndani bila ya kesi, Katika Uislam mwanamke hawezi kuwa kiongozi kutokana na automatically anakua dhaifuTaleban bana, kuna mmoja alihojiwa kama baraza la Mawaziri wanawake watakuwepo, akasema labda Bungeni huko
Vipi hali yako ni tajiri, uliokopi kwa mzungu mwenye dini yako unayoifuta kwa sasaHata Waarabu wenye dini yao wanawake zao hawana hali ngumu kama ya hawa waliokopi tu.
Relax mkuu, waache watu wafuate mila na desturi zao haituhusu sisi, tupambane na katiba mpya kwanza ndio tudiscuss ya wenzetuHao sijui Taliban ni makafiri tu hakuna mbingu wataingia hao na ukiona wa hivyo ndio mafuska wakubwa.
Mimi nikionaga mabaibui ndo nadindisha natamani hata kubakaHili ni jambo zuri,hasa kwa kuwa dada zetu siku hizi wanavaa mavazi yasiyo na staha na kutupa vishawishi wanaume..
Ipo makala moja ilitolewa gazetini ikisema uvaaji mbaya wa wanawake unachochea upungufu wa nguvu za kiume..
Hayo si yale ya kubana yanaonesha ramani ya maumbile.Mimi nikionaga mabaibui ndo nadindisha natamani hata kubaka
Ukweli kwa maelekezo ya din talibani wako sahihi 100% kufuata maelekezo ya dini.Sasa si Mungu angewaumbia mbali nchi ya wanawake na ya wanaume.
Ila kweli hizi dini ngoja tusubirie Kiama labda watalebani Mungu wao ndo alivyowaagiza.
Ndo haya mtu na dadaye wanakulana
Sina mahaba na wazungu. Waarabu unaowapenda kutoka moyoni kwa sababu ya kushare nao dini wao wanakuona kenge tu.Vipi hali yako ni tajiri, uliokopi kwa mzungu mwenye dini yako unayoifuta kwa sasa
Unaweza dhani Tanzanian ndiyo kuna vituko pekee, kumbe wengine ni hatari sana[emoji1787] nchi nyengine zinatabu tupu Sasa nini hiki..