Afghanistan: Wanafunzi Wanawake wametenganishwa na wanaume kwa mapazia madarasani

Afghanistan: Wanafunzi Wanawake wametenganishwa na wanaume kwa mapazia madarasani

Hili ni jambo zuri,hasa kwa kuwa dada zetu siku hizi wanavaa mavazi yasiyo na staha na kutupa vishawishi wanaume..

Ipo makala moja ilitolewa gazetini ikisema uvaaji mbaya wa wanawake unachochea upungufu wa nguvu za kiume..
Kumbuka wanawake hawajawai kulimit chochote cha mwanaume.
Usidhani wao hawawish kumlimit mwanaume.
FAIRNESS"" sisi sote hukosea mbele za Mungu lakini Mungu ameendelea kuwa FAIR hata tunapata muda wa kupitisha maamuzi kandamizi dhidi ya kiumbe binadamu aliyeumbwa na Mungu ambaye tunasema tunamuabudu.
 
Binafsi sioni cha ajabu, ukienda amerika hata usipofika ukitazama tamthilia na movie zao wapo wazi kutetea ushoga...
Kabla hatujaashangaa Taliban tuwashangae kwanza wazungu kuhalalisha na kuna kipindi walitaka Africa tuutambue ushoga...

Mwanamke akisisimka kihisia kuna namna fulani au vilainishi vinakuwepo ukeni, which means yupo tayari kuingiliwa...
Lakini mkundu toka lini ukawa na vilainishi? haukuumbwa kwa hio shughuli...ni ushetani tu...
 
Mambo mengi yanaendelea kubadilishwa na technolojia

Kupitia simu za mkononi wanaanza kutambua kuwa ni watumwa wa kiimani

Wanajinasua polepole

Wanasoma shule

Wanapata madaraka

Wanaobuka watetea haki miongoni mwao kuwaamsha wenzao kama ilivyokuwa wakati wa kuondoa wakoloni ndivyo akina AMINA LAWAL na MALALA wanavyowafumbua macho wenzao

Saudi sasa wanawake wanaweza kuendesha gari kitu ambacho hakikuwapo zamani
 
Wanafunzi nchini Afghanistan wamerudi vyuoni na kupata mabadiliko chini ya utawala wa Taliban. Wanafunzi wanawake wametenganishwa na wanaume kwa mapazia au mbao madarasani.

Aidha wanawake wanapaswa kuondoka dakika tano kabla ya wale wa kiume ilikuzuia wasitangamane.

=========================

Universities in Kabul were almost empty on the first day of the Afghan school year, as professors and students wrestled with the Taliban’s restrictive new rules for the classroom.

The Taliban have promised a softer rule than during their first stint in power from 1996-2001, when women’s freedoms in Afghanistan were sharply curtailed and they were banned from higher education.

This time, the hardline Islamist group have said women will be allowed to go to private universities under the new regime, but they face tough restrictions on their clothing and movement.

Women can only attend class if they wear an abaya — a flowing robe — and a niqab — a face veil with a small window to see through — and are separated from men, the Taliban said.

View attachment 1927430
Safi sana
 
Tatizo mashoga mnakua na hasira na Uislam alaf chuki zenu mnazileta humu, mm sifiri wasenge peleka mkundu wako kanisani kwa papa aendelee kuutumikia, unaleta shobo kwa Waislam na waarabu ? Sisi sio kazi zetu hizo
Wewe kuwa muislam hakubadilishi mtizamo wa waarabu kwako( mtu dhaifu usie na umuhimu). Hizi nguvu unazotumia kuwatetea hapa ungezitumia kupinga matendo yao ambayo kimsingi bibi na babu zako waliyapitia na hadi leo bado kuna watu wanachukuliwa watumwa na wengi wao ni waislam.

Unaongea vitu ambavyo huna hata uelewa navyo, Kanisa Katoliki haliruhusu ushoga na hakuna anaetetea maovu ya kanisa pale yanapojulikana. Tumeshuhudia mapadri, masista maaskofu wakifishwa mahakamani na kutolewa sifa za kuhudumu kwa kulawiti na kubaka watoto na wakristo walilaani vitendo vyao. Pia hakuna mkristo anaetetea wamishonari kuhusika na ukoloni Afrika.

Mzungu sio mfano jinsi mkristo anatakiwa kuishi. Nimekuwekea documentary hii chini pengine itakufungua macho inaitwa "The Untold story of Arab Slave Trade of Africans"


 
Wanafunzi nchini Afghanistan wamerudi vyuoni na kupata mabadiliko chini ya utawala wa Taliban. Wanafunzi wanawake wametenganishwa na wanaume kwa mapazia au mbao madarasani.

Aidha wanawake wanapaswa kuondoka dakika tano kabla ya wale wa kiume ilikuzuia wasitangamane.

=========================

Universities in Kabul were almost empty on the first day of the Afghan school year, as professors and students wrestled with the Taliban’s restrictive new rules for the classroom.

The Taliban have promised a softer rule than during their first stint in power from 1996-2001, when women’s freedoms in Afghanistan were sharply curtailed and they were banned from higher education.

This time, the hardline Islamist group have said women will be allowed to go to private universities under the new regime, but they face tough restrictions on their clothing and movement.

Women can only attend class if they wear an abaya — a flowing robe — and a niqab — a face veil with a small window to see through — and are separated from men, the Taliban said.

View attachment 1927430

Kale kabint katundu kamesogeza pazia ili kawachungulie wavulana.

😆 😊 🙂
 
umamamaaammmmmae, wazungu weusi wanavyopenda mchezo mbaya wamechukia haoooo,
Munataabika bure nyie hamumo, nyie endeleeni kuwafata wazungu wawamwage urojo na kuwafumua marinda tu
Mbushhh eti waarabu ni walichukua watumwa,
Sasa inahusiana vipi utumwa na kufumuliwa marinda
Mbullah
 
Mbona bongo tunasoma tuu na dada zetu bila matatizo, labda mungu wao kawaambia hivyo
 
umamamaaammmmmae, wazungu weusi wanavyopenda mchezo mbaya wamechukia haoooo,
Munataabika bure nyie hamumo, nyie endeleeni kuwafata wazungu wawamwage urojo na kuwafumua marinda tu
Mbushhh eti waarabu ni walichukua watumwa,
Sasa inahusiana vipi utumwa na kufumuliwa marinda
Mbullah
Talebans wanapenda sana kufumuana marinda, google bacha bazi ni culture yao ya kufumuana hayo marinda, wanafiki wakubwa sana mafuska watupu umbwa kabisa
 
Talebans Mafuska watupu hao angalia documentary inaitwa The dancing boys of Afghanistan uone jinsi wanavyopenda kufumuana marinda
 
Haya mambo yalitakiwa kuisha kipindi cha mtume miaka 1500 iliyopita....katika modern society huo ni utopolo tu
 
Talebans wanapenda sana kufumuana marinda, google bacha bazi ni culture yao ya kufumuana hayo marinda, wanafiki wakubwa sana mafuska watupu umbwa kabisa
Ila hawawashindi wazungu
Kwani wao wanaoana wanaume kwa wanaume na vyeti vya ndoa wanapeana
🤣🤣🤣🤣🤣
Na hata aazungu weusi huku kwetu wanerithi
Pale moshi yuko mmoja tena ana mumewe huko ulaya
Dume limeolewa bwashehe na dume mwenzake
 
Hapa cha ajabu nini? mbona hata sisi huku tuna shule za wasichana tu na shule za wavulana shule mchanganyiko chache sana huko O level mpaka A level sidhani kama tuna shule mchanganyiko si bora ya hawa wametengenisha tu. Au ndio mnataka kama yale ya vyuo vyetu watu kudanga tu mwisho wa siku wanauwana kwa ajili ya mapenzi wazazi wanadhani watoto wanasoma kumbe wanafanya yote mpaka kufikia kuchomana moto.
 
Back
Top Bottom