Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 10,963
- 13,287
Na mm kwenye discussion kama kulikuwa hakuna demu nilikuwa siendiNdio maana watu walikuwa wanabanana wapande ndege kusepa,sasa discussion itafanyikaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mm kwenye discussion kama kulikuwa hakuna demu nilikuwa siendiNdio maana watu walikuwa wanabanana wapande ndege kusepa,sasa discussion itafanyikaje?
Swali zuriKwa hiyo Mwalimu wa kiume hafundishi wasichana?
Hiyo mibaba mizee na mimama ndo wanafunzi?Wanafunzi nchini Afghanistan wamerudi vyuoni na kupata mabadiliko chini ya utawala wa Taliban. Wanafunzi wanawake wametenganishwa na wanaume kwa mapazia au mbao madarasani.
Aidha wanawake wanapaswa kuondoka dakika tano kabla ya wale wa kiume ilikuzuia wasitangamane.
=========================
Universities in Kabul were almost empty on the first day of the Afghan school year, as professors and students wrestled with the Taliban’s restrictive new rules for the classroom.
The Taliban have promised a softer rule than during their first stint in power from 1996-2001, when women’s freedoms in Afghanistan were sharply curtailed and they were banned from higher education.
This time, the hardline Islamist group have said women will be allowed to go to private universities under the new regime, but they face tough restrictions on their clothing and movement.
Women can only attend class if they wear an abaya — a flowing robe — and a niqab — a face veil with a small window to see through — and are separated from men, the Taliban said.
View attachment 1927430
Ndio mana mashoga na kuliwa jicho hua hakuishi katika nchi hizo.Sasa si Mungu angewaumbia mbali nchi ya wanawake na ya wanaume.
Ila kweli hizi dini ngoja tusubirie Kiama labda watalebani Mungu wao ndo alivyowaagiza.
Ndo haya mtu na dadaye wanakulana
Kuna kaukweli hapaSi unaona mfano wa mama kapewa nchi hii hatimae anaendeshwa na wasioitakia mema nchi mpaka kiongozi wa upinzani yuko ndani bila ya kesi, Katika Uislam mwanamke hawezi kuwa kiongozi kutokana na automatically anakua dhaifu
Wameachwa ili kuudhihirishia dunia ijue wanakosea wapWanafunzi nchini Afghanistan wamerudi vyuoni na kupata mabadiliko chini ya utawala wa Taliban. Wanafunzi wanawake wametenganishwa na wanaume kwa mapazia au mbao madarasani.
Aidha wanawake wanapaswa kuondoka dakika tano kabla ya wale wa kiume ilikuzuia wasitangamane.
=========================
Universities in Kabul were almost empty on the first day of the Afghan school year, as professors and students wrestled with the Taliban’s restrictive new rules for the classroom.
The Taliban have promised a softer rule than during their first stint in power from 1996-2001, when women’s freedoms in Afghanistan were sharply curtailed and they were banned from higher education.
This time, the hardline Islamist group have said women will be allowed to go to private universities under the new regime, but they face tough restrictions on their clothing and movement.
Women can only attend class if they wear an abaya — a flowing robe — and a niqab — a face veil with a small window to see through — and are separated from men, the Taliban said.
View attachment 1927430
Nimecheka kwa tumboSaafi, huwa vikifikia umri huo havisomi. Kazi kuangaliana usoni.
😋😁
[emoji1787][emoji119][emoji119]Safi sana, kwahiyo hao ni form two? Hukumwetu kwenye mwendokasi tabu tupu, unaweza banwana na kalio usikione hata kituo cha kushukia
Umesahau watoto wa kiume kugeuzwa, mademu wako mbaliSasa si Mungu angewaumbia mbali nchi ya wanawake na ya wanaume
Ila kweli hizi dini ngoja tusubirie Kiama labda watalebani Mungu wao ndo alivyowaagiza
Ndo haya mtu na dadaye wanakulana
Ndio maana watu walikuwa wanabanana wapande ndege kusepa,sasa discussion itafanyikaje?
🤣 nchi nyengine zinatabu tupu sasa nini hiki.
Hivi mwanamke akiumwa karibu kufa na daktari ni mwanaume hataweza kumtibu...?,. huu ni upumbavu sana
Wanahamasisha wawe mashoga nini
'Si unaona mfano wa mama kapewa nchi hii hatimae anaendeshwa na wasioitakia mema nchi mpaka kiongozi wa upinzani yuko ndani bila ya kesi, Katika Uislam mwanamke hawezi kuwa kiongozi kutokana na automatically anakua dhaifu