Afghanistan: Zaidi ya watu 600 wamefanikiwa kupanda ndege ya Jeshi la Marekani

wewe uko nyuma ya wakati.taarifa hizi zipo kabisa wewe unasema photosho.mimi nilivyoona ile video kwa nje sikujua ndani ya ndege kuna hali gani
Nilikuwa naangalia al jazeera jana,watu wananinginia kwenye ile ngazi pembeni,kumbe kila mwarabu anatamani kuishi kwa makafiri aisee! Mungu amewabariki sana makafiri,na bado anazidi kuwabariki kwa kila kitu
 
Wazee wa fursa wakiona marekani ileeeee....
Hivi unadhani USA wataruhusu hao watu kuingia nchini kwao? Hao wataachwa hapo hapo Qatar wapige vibarua..
Hao hawawezi fika USA, ila kuna wale tu ambao walikuwa wakiwasaidia kama kutasfiri/waandishi wa habari, na waliokuwa wakifanya kwenye mashirika yao, wengine walishapelekwa Marekani, na wengine bado ila wataenda.hao kwenye ndege hiyo ni lift tu wanabwagwa hapo qatar tu, kwani kuwashusha ingekuwa ngumu.
 
Unajua bhana sawa waafrika ni wapumbavu wa fikra hususan viongozi wetu .

Ila hakuna watu wasiokua na akili kama waarabu.

Waarabu mambumbumbu sana.

Wanahusudiana wao kwa wao,wanachukiana wao kwa wao,wanageukiana wao kwa wao.

Ndio maana hata vita ikitokeaa mwarabu anaona sehem salama kwake ni kwa mzungu ila sio kwa mwarabu mwenzake.

Point yangu ni kwamba hapo mashariki ya kati waarabu wenyewe walikua wana uwezo wa kutatuliana shida na migogoro ya wao ila unafiki unawamaliza.
 
Aisee, kumbe wanazipenda nchi za kikafiri namna hii? Dini ya haki! πŸ˜‚
Asa mkuu hao waarabu wananafikiana wenyewe kwa wenyewe unadhani mwarabu ataweza kukimbia kwa mwarabu mwenzake?

Kidoogoo Turkey waarabu wanapenda kukimbilia ukimbizi huko kwasababu jamaa nchi wanaiendesha vizuri.

Na hawa ndio wanatuchafulia dini kuleta mkazo ktk mambo siyo.

Hawa jamaa siwakubali hata kidogo.
 
Karibu ya wa AFGHAN 10,000 wapo uwanja wa ndege kuiacha nchi kwa kunusuru maisha yao zidi ya watawala wapya wa TALIBAN waliochukua nchi.

Ikiwa maafisa wa uwanja wa ndege za Kiraia nao wametoroka, waliopo hapo ni wanajeshi wa USA tu, nidhamu na utengamano hamna! na baadhi ya ndege za jeshi za USA zinazo tua hapo, hudandiwa mithili ya daladala za Mbagala-Kariakoo, na maafa hutokea
 
Wahuni tuu hao waliwaachia tuu wapande πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…