Mzee makoti
JF-Expert Member
- Jul 27, 2016
- 3,482
- 4,673
Kwanini unasema hivyo??? Aisee we ujitambui,picha ni ya kweli hiyo dada,Ni ndege ya mizigo hiyoHii ni photoshopo hakuna lolote hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini unasema hivyo??? Aisee we ujitambui,picha ni ya kweli hiyo dada,Ni ndege ya mizigo hiyoHii ni photoshopo hakuna lolote hapa
Achana na jinga Hilo black sniperHiyo ni ndege ya mizigo
Sio uzito mara 5,imebeba abiria zaidi ya mara tano kwa uwezo wake wa kawaida inavyobebaga abiria,kuna idadi ya abiria na mizigo
Jinga Hilo Nyatiwewe uko nyuma ya wakati.taarifa hizi zipo kabisa wewe unasema photosho.mimi nilivyoona ile video kwa nje sikujua ndani ya ndege kuna hali gani
vita isikie tu ,ni hatari .Sasa mtu amekaa juu ya ndege inamaana hajui kama ataanguka.? Au ndo kichwani socket imechomoka
Noma sana hii movie.Hiyo ndege imekuwa ya mwendokasi sasa, maana limebeba uzito x5 ya kawaida yake
Na rubani akakubali na ikapaa du
Kuna movie zingine hazihitaji popcorns kabisa [emoji23][emoji23]
Yaani mtu anakimbia vita kuokoa maisha yake akumbuke kuvaa barakoa??Hebu kuweni realistic banaHii ni photoshopo hakuna lolote hapa
hebu acha utani,unakimbia vita unweza kumbuka vipi barakoa?..Ina maana huko hakuna corona, au wamekwisha chanjwa wote?
Wanaona kila mtu ataamini ujinga naupuuzi wao hawa mbwa waki USHii ni photoshopo hakuna lolote hapa
US na vibaraka wao sijui wanatuchukuliaje asee dahHiyo ndege imekuwa ya mwendokasi sasa, maana limebeba uzito x5 ya kawaida yake
Na rubani akakubali na ikapaa du
Kuna movie zingine hazihitaji popcorns kabisa [emoji23][emoji23]
???!!!!Wanajeshi wa US ambao tuliwaona wapo kwenye ndege na ni wengi mbona siwaoni hapo??
Kunywa maji mengi...Sioni hata mmoja aliyevaa barakoa
Nimeangalia kwenye taarifa ya Habari utv adhuhuriUna video yake au ni ile picha tu
Mkuu tuwekee video ambayo ni ya kweliUS na vibaraka wao sijui wanatuchukuliaje asee dah
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Wakati wanashushwa au wakati wanagombania kuingia kwenye ndege?Nimeangalia kwenye taarifa ya Habari utv adhuhuri
Hadithi nyingi picha ileile.Nimeangalia kwenye taarifa ya Habari utv adhuhuri
US na vibaraka wao sijui wanatuchukuliaje asee dah
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Noma sana hii movie.