chivala
JF-Expert Member
- Apr 13, 2021
- 772
- 2,332
Mkuu usiambiwe roho nitamu, huyo hapo anafikiri alipo juu ya paa la ndege, anaweza akasafiri hadi marekani bila kudhurikaSasa mtu amekaa juu ya ndege inamaana hajui kama ataanguka.? Au ndo kichwani socket imechomoka