Afghanistan: Zaidi ya watu 600 wamefanikiwa kupanda ndege ya Jeshi la Marekani

Fake, photoShop,
 
Hii ni kwa muda tu ili kutuliza hali ya mambo. Wakianza kuweka zile sharia zao hutaona hao female Journalist kitaani. Ni mwendo wa kukaa ndani tu na ukitoka lazima uvae nguo zenye chekecheke.

 
Hiyo haikwenda kuchukua wanajeshi ilienda beba diplomat people ila walichokutana nacho sasa
Hiyo ilipeleka wanajeshi elfu 5 ambao walienda kusaidia usalama wa wanadiplomasia wanaoondoka Afghanistan. Sasa wakati inondoka ndio hao raia wakaomba lift
 
MARA TANO ZAIDI NA PIPA LIKANYANYUKA BILA SHIDA!!! SIPATI PICHA!!
Ni ndege ya jeshi mkuu!..
. Na ukumbuke ni jeshi la marekani ambapo nwanajeshi anadhaminiwa sana kwa hiyo hata vyombo vyao vya usafiri ni vya uhakika!

Fikiria hilo dude linabeba wanajeshi zaidi ya 300 kwa hiyo Marekani hawezi kusafirshia wanajeshi wake wengi namna hiyo kwenye chombo kisicho salama.

Hapo hilo dude utakuta lina hadi vifaa vya ku detect mabomu
 
Hiyo ndege imekuwa ya mwendokasi sasa, maana limebeba uzito x5 ya kawaida yake

Na rubani akakubali na ikapaa du

Kuna movie zingine hazihitaji popcorns kabisa [emoji23][emoji23]
Mkuu hii ni C 17 Globemaster. Ina uwezo wa kubeba mzigo mpaka tani 77 sasa sijui hao raia 600 kama wanafikia hata nusu ya huo uzito
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…