Sasa ni zamu ya kipa wa CIV kupiga lakini kaumia inabidi atibiwe...
Ghana 8 - 9 CIV
Baada ya miaka 23 Cote de Ivoire ni mabingwa wa Afrika 2015.
Kocha wa Ivory Coast analiongoza taifa la pili la Afrika kubeba ndoo ya Afrika. Mara ya kwanza akiiongoza Zambia katika fainali za Gabon/Equatorial Guinea.