Sasa ni zamu ya kipa wa CIV kupiga lakini kaumia inabidi atibiwe...
Ghana 8 - 9 CIV
Baada ya miaka 23 Cote de Ivoire ni mabingwa wa Afrika 2015.
Kocha wa Ivory Coast analiongoza taifa la pili la Afrika kubeba ndoo ya Afrika. Mara ya kwanza akiiongoza Zambia katika fainali za Gabon/Equatorial Guinea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.