African leader taken ill, admitted to city hospital

Kama umeacha kushangaa ni vizuri..
Vp huko njaa Imeisha tuwaletee mahindi?maana ni juzi tu mmeibuka kwa kusema mahindi yana sumu, leo mmekujw kwa kusema kiongozi mgonjwa kaletwa kwenu, nyie mnashida gani nyie??
 
mkuu unatumia nguvu sana,unawapa airtime na kujihisi wanajadili jambo nyeti sana kumbe uzushi tu.

Nadhani taarifa kama hizi ndizo zinatekenya masikio yake. Maana namuuliza ni chanzo gani cha habari ambacho unakiamini. Hajibu, anaanza kuongea mambo meengi.
 
Vp huko njaa Imeisha tuwaletee mahindi?maana ni juzi tu mmeibuka kwa kusema mahindi yana sumu, leo mmekujw kwa kusema kiongozi mgonjwa kaletwa kwenu, nyie mnashida gani nyie??
Duh
 
Nimeacha kushangaa baada ya kukumbuka kile huwatendekea albino huko, kwamba nyie ni wale wale...
Hivi majority ya journalists huwa wanakuwa trained wapi? Nawaona kuwa kuwa wanna freedom kubwa kwenye operations na uandishi wao...wanaweza wakaanzisha rumours zozote zile kwa kile kinachoitwa freedom of expression...
 
Huko india unakotaja ni safari ya saa moja?
 
Boss not only mentioning, they even put up his pic
 
Huko india unakotaja ni safari ya saa moja?
Hata ingekuwa masaa kumi, unadhani kiongozi anasafiri bila doctors, haya na mbona Kama mnavyo sema baada ya hapo alipelekwa India?? Kwahiyo kutoka Nairobi mpaka India n lisaa limoja? Na nilicho ongea mm ni kwamba kwa mamlaka aliyo nayo hawezi letwa Nairobi angepelekwa moja kwa moja India
 
Wewe huna facilitues za kumtoa mgonjwa hapa ukamfikishe india. Ndio maana walianzia karibu.
 
The other day you conceded that Kenya has better private hospitals than Tz. Leo unapingana. Hauna msimamo, you only argue to win.
 
Shida unahukumu athari ila huangalii chanzo cha tatizo kiko wapi. Kwa kawaida mtu hawezi kufurahia mwenzake kukumbwa na tatizo /shida ambayo na yeye itampata. Ila pale mtu anaishi na kutenda kama yuko juu ya hizo shida, kwa hakika siku akikutana nazo watu hufurahia, kwa sababu shida hizo zisipomwondoa basi humrejeshea kwa kiasi kikubwa, ule ubinadamu uliokuwa ameuacha iwe kwa makusudi au bahati mbaya.
 
Hiyo ni tafsiri yako kulingana na mtazamo wako.
 
umeamu kujifunika huu uzushi.

eti super power wa hospital[emoji23][emoji23]
Najua ukweli unauma lakini itabidi mzoeee.
Matibabu ya nje huonyesha umahiri wa wauguzi na state of the art facilities.
Mambo kama haya na mengine mengi ndio hufanya nchi kadhaa kupewa hadhi ya super power East and Central Africa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…