African leader taken ill, admitted to city hospital

Huyu atakuwa amekufa sababu ya ujinga wake.Mimi ni miongoni mwa watu wanaosubiria kifo chake kwa hamu sana.na hamu ya kuona atakavyosimamia uchumi akiwa kaburi maana kwake uchumi hauwezi kulinganishwa na kitu chochote kile.Haya si maneno yangu bali aliyasema mwenyewe pale singida
 
Kama ni kwel bas namuombea M/Mungu ampe uponyaji wa haraka kiongozi wet, kama taifa tunamuhitaji sana na familia yake pia.
Though naomba iishie kuwa tetesi.
Naungana nawe katika hayo unayomtakia. Nikiongeza kwamba, atakapopona vizuri apate nguvu na ujasiri wa kujua kwamba yeye ni binaadam tu kama sisis wengine sote. Urais hauongezi chochote cha ziada kwenye hali ya ubinaadam.

Asione aibu kukiri udhaifu wake na ajirudi katika makosa mengi aliyokwishafanya kwa kiburi kinacholetwa na urais wake.

Lakini hapa tulipofikia, nadhani hatua ya "tetesi" sasa imebadilika. Inabidi tukubali kwamba ni kweli.

Akipona, ni bora pia ajiulize maswali mazito. Inakuwaje apelekwe hospitali ya nchi ya jirani?
 
Hili hata binti yangu anfeweza kujibu
 
COVID-19 sio ugonjwa wa kutafutiwa msaada wa kitabibu nje ya nchi. Hakuna nchi ambayo inauwezea kuliko nchi nyingine!
Wengine waliwekeza kwenye kununua Wana ventilators while sisi tukiwekeza kwenye kujitoa ufahamu,propoganda na nyungu,hapo bado huoni Kama Kuna tofauti mkuu?
 
Wacha kuwa mpuuzi nawe lifungiwe for what? kwani African leader ni JPM Pekee? Binafsi nadhani atakuwa Salvar Kiir! Maana kushakuwa na hints zikiimplicate several officials ato his statehouse falling sick!
 
This is nonsense! Yaani mgonjwa wa COVID-19 apelekwe Kenya kutibiwa? Kwa dawa gani waliyonayo hapo? Ulaya kwenyewe hapelekwi!
Huenda hata 'ventilator' hospitali zetu hazipo?

Au ni maswala ya ku'manage' complications zingine zinazoambatana na COVID-19; vitu kama 'cardiac arrest', cytokine syndrome, n.k.!

Umedadisi jambo la msingi sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…