African leader taken ill, admitted to city hospital

African leader taken ill, admitted to city hospital

Najua ukweli unauma lakini itabidi mzoeee.
Matibabu ya nje huonyesha umahiri wa wauguzi na state of the art facilities.
Mambo kama haya na mengine mengi ndio hufanya nchi kadhaa kupewa hadhi ya super power East and Central Africa
endelea kujitekenya.
 
Najua ukweli unauma lakini itabidi mzoeee.
Matibabu ya nje huonyesha umahiri wa wauguzi na state of the art facilities.
Mambo kama haya na mengine mengi ndio hufanya nchi kadhaa kupewa hadhi ya super power East and Central Africa
Amref wamekuwa busy the past 2 wks carrying out medevac flights from Dar to Nairobi.
Hata saa hii bado wako busy.
Ewf3XUJXMAM2SJx-1.png
 
Eti resuscitated? Dah inamaana kwamba alikuwa amezima kabisa? Yaani rais ambaye ni CinC wa jeshi pia, anapoteza ufahamu na roho yake inazima kabisa. Alafu wananchi anaowatala Tz hawana habari hata za kulazwa kwake hospitalini? Mbona hii hatari sana?
Ujue huu ulikuwa uongo wa kiwango cha PhD!!!
 
Hata ingekuwa masaa kumi, unadhani kiongozi anasafiri bila doctors, haya na mbona Kama mnavyo sema baada ya hapo alipelekwa India?? Kwahiyo kutoka Nairobi mpaka India n lisaa limoja? Na nilicho ongea mm ni kwamba kwa mamlaka aliyo nayo hawezi letwa Nairobi angepelekwa moja kwa moja India
Wagonjwa nao wanamamlaka? Na wafu je?
 
Back
Top Bottom