Afrika ianze kugomea kupokea fedha toka Marekani ili ijitegemee

Afrika ianze kugomea kupokea fedha toka Marekani ili ijitegemee

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Afrika walipe tu madeni wanayodaiwa sasa na Marekani kisha nchi zote ziache kupokea fedha na misaada toka Marekani. Afrika ianze kufanya biashara kati ya nchi na nchi ndani ya Afrika na nchi nyingine zile za BRICS na nyinginezo.

Afrika ili iendelee ihakikishe teknolojia yoyote toka Marekani haitumiwi Afrika na ile Mikataba ya kiulinzi na Marekani ivunjiliwe mbali na mikataba yote ya kibiashara isitishwe mara moja. Afrika izuie mitumba na bidhaa zinazoweza kupatikana kwingineko mbali na Marekani kuingia Afrika.

Afrika isimame imara dhidi ya Marekani ili ijitegemee!!
 
Afrika walipe tu madeni wanayodaiwa sasa na Marekani kisha nchi zote ziache kupokea fedha na misaada toka Marekani. Afrika ianze kufanya biashara kati ya nchi na nchi ndani ya Afrika na nchi nyingine zile za BRICS na nyinginezo.

Afrika ili iendelee ihakikishe teknolojia yoyote toka Marekani haitumiwi Afrika na ile Mikata ya kiulinzi na Marekani ivunjiliwe mbali na mikataba yote ya kibiashara isitishwe mara moja. Afrika izuie mitumba na bidhaa zinazoweza kupatikana kwingineko mbali na Marekani.

Afrika isimame imara dhidi ya Marekani ili ijitegemee!!

UJANJA NA SHIDA HAVIKAI PAMOJA
JamiiForums2134600415 (1).jpg
 
Mleta mada umewahi kufika marekani ukaona maisha halisi na watu wa aina gani wapi kule. Chuki zako haziwezi kukusaidia. Aliyekutangulia ndiye aliyekuacha
 
Mbulaa tuache kutembeza bakuli kwa Taifa Teule la Mungu , Nasema baada ya Mungu anafuatiwa USA hayo mataifa mengine ni upuuzi tuu , kama sio Taifa The great National USA ungekuta tumeshatawaliwa na SHARIA
 
Afrika walipe tu madeni wanayodaiwa sasa na Marekani kisha nchi zote ziache kupokea fedha na misaada toka Marekani. Afrika ianze kufanya biashara kati ya nchi na nchi ndani ya Afrika na nchi nyingine zile za BRICS na nyinginezo.

Afrika ili iendelee ihakikishe teknolojia yoyote toka Marekani haitumiwi Afrika na ile Mikataba ya kiulinzi na Marekani ivunjiliwe mbali na mikataba yote ya kibiashara isitishwe mara moja. Afrika izuie mitumba na bidhaa zinazoweza kupatikana kwingineko mbali na Marekani kuingia Afrika.

Afrika isimame imara dhidi ya Marekani ili ijitegemee!!
Weka hoja yako vizuri. Imepwaya hivyo haieleweki.
Ni kweli Afrika inatakiwa ilipe madeni yake na iache kukopa. Kwa nini unasema madeni ya Marekani tu. Madeni ya nchi za BRICS yenyewe hayana madhara? Na kwa nini Africa isifanye biashara na Marekani ila ifanye na nchi za BRICS?
Teknolojia ya Marekani kwa nini istumike Afrika?
 
Weka hoja yako vizuri. Imepwaya hivyo haieleweki.
Ni kweli Afrika inatakiwa ilipe madeni yake na iache kukopa. Kwa nini unasema madeni ya Marekani tu. Madeni ya nchi za BRICS yenyewe hayana madhara? Na kwa nini Africa isifanye biashara na Marekani ila ifanye na nchi za BRICS?
Teknolojia ya Marekani kwa nini istumike Afrika?
Hoja iko hapo ila umeamua kuiruka. Bila ya kuachana na Marekani Afrika haitaendelea ila ikishirikiana na BRICS na wengineo Afrika itasonga mbele kimaendeleo.
 
Back
Top Bottom