t blj
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 7,035
- 16,705
Huwezi kuwa mzalendo kama una njaa, viongozi wanajinasibu uzalendo hadi wanavaa nguo zenye bendera ya nchi , lakini hao hao unasikia wamekwapua mabilion ya wananchiAcha woga kuwa mzalendo!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwezi kuwa mzalendo kama una njaa, viongozi wanajinasibu uzalendo hadi wanavaa nguo zenye bendera ya nchi , lakini hao hao unasikia wamekwapua mabilion ya wananchiAcha woga kuwa mzalendo!!
Hizi ndizo hoja fikirishi !!Moja ya nchi za Brics ni South Africa ambayo ina shida kama tanzania Tu.
Sasa Tanzania itapeleka nini South Africa ambayo Kwa mwaka sasa Wana mgao WA umeme ambao tanzania haijawahi kuwa nao.
Ugonjwa tumeshaambiwa namna ya kujikinga ! Bado ukiupata unamlaumu mtu .Pia ni wao ndio waliouleta huo ugonjwa,usisahau hilo pia.
Sasa kama mchi haijwezi na kodi hatulipi wataka nini kifanyike?du we njemba unapenda misaada balaa!!!
We jamaa banaSamaki na Mahindi pamoja na parachichi!!
Ni wewe yule yule au mwingine?Hivi nani aliwaambia BRICS wanataka kujitenga na USA na EU kiuchumi na kibiashara?
Naona hili jambo watu wanalichukulia kiushabiki sana. Huo ni muungano tu hawana hata mpango wa kujitenga na mataifa mengine
Kila siku tunaona nchi wanachama wa BRICS kama China na India zinaingia mikataba ya kibiashara na mataifa ya Ulaya na Marekani. Halafu leo hii mtu aseme Afrika ijitenge na Marekani ifanye biashara na BRICS tu
Kwa aina ya viongozi tulionawo afrika wanawowaza kujilimbikizia Mali, China ndiyo atakaye kuja kuwa mkolon mpya wa africa!Wachina hawana msaada wowote Africa , ni vile tu wa africa wenyewe tupo slow minded kung'amua mambo. Nigeria kuna taarifa ya wizi wa mabilion ya pesa za mafuta suspect mkuu ni china company.
China want this continent with its fertile land and rich minerals, but they dont it with us in it. Kule kwao wameshajaza na hakuna kitu chini.
Tanzania bado masikini sana.Acha woga kuwa mzalendo!!
wewe ndo chanzo cha kupokea hizo ela , serikalo imafanya madudu na upo kimyaAfrika walipe tu madeni wanayodaiwa sasa na Marekani kisha nchi zote ziache kupokea fedha na misaada toka Marekani. Afrika ianze kufanya biashara kati ya nchi na nchi ndani ya Afrika na nchi nyingine zile za BRICS na nyinginezo.
Afrika ili iendelee ihakikishe teknolojia yoyote toka Marekani haitumiwi Afrika na ile Mikataba ya kiulinzi na Marekani ivunjiliwe mbali na mikataba yote ya kibiashara isitishwe mara moja. Afrika izuie mitumba na bidhaa zinazoweza kupatikana kwingineko mbali na Marekani kuingia Afrika.
Afrika isimame imara dhidi ya Marekani ili ijitegemee!!
Tazara tulilipia sio bureMawazo ya mtu mpumbavu
Hao BRICS hawajawahi isaidia Tanzania chochote cha bure tukiondoa TAZARA
duh na vyoo hamuwez jijengea ila hapa unaandika ushuz , watu wanapiga 41B mpo busy na marekanNi kweli unayosema
Marekani kabaki jina tu hana jipya