Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Usaid wakiondoka , China na Russia zitawasaidiaSekta ya afya Tz ikikosa misaada toka mashirika ya misaada kama USAID, mwaka mmoja inacollapse.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usaid wakiondoka , China na Russia zitawasaidiaSekta ya afya Tz ikikosa misaada toka mashirika ya misaada kama USAID, mwaka mmoja inacollapse.
Wazo zuri sana. Tuachane na matumizi ya Dollar.Africa ifikirie kutumia sarafu yake kwanza ili ijikomboe kutoka kwenye dola. Tukiliweza hilo tutakua mbali.
Acha woga kuwa mzalendo!!Sekta ya afya Tz ikikosa misaada toka mashirika ya misaada kama USAID, mwaka mmoja inacollapse.
Nimezoea kusoma mada zenye ujazo kutoka kwako. Naona hii imepwaya sana. Ndio maana nimekuita ujaze nyama ili tujue kwa upana angle ya hoja yako.Hoja iko hapo ila umeamua kuiruka. Bila ya kuachana na Marekani Afrika haitaendelea ila ikishirikiana na BRICS na wengineo Afrika itasonga mbele kimaendeleo.
Hii ni mada chokozi. Kuna watu wana chuki na Marekani kiasi kwamba wanatamani tuachane nao hata kesho tu. Sasa ndiyo nahimiza kuachana na Marekani ili tutimize ndoto za watu hao!!Nimezoea kusoma mada zenye ujazo kutoka kwako. Naona hii imepwaya sana. Ndio maana nimekuita ujaze nyama ili tujue kwa upana angle ya hoja yako.
Kwa nini Bwana Gadafi aliuawa!!??Unajua kwa nini Gadafi aliuawa au unaropoka tu.
Alikuwa anataka kuachana na mfumo wa pesa ya mmarekani alafu atumie sarafu yake ambayo angeiita dinari kwa kutumia reserve yake ya maana ya gold ya wakati ule, hii sababu ndio pia ilimuua hata Sadam hao wote walitamani mafuta yao wayauze kwa gold na sio pesa za karatasi bandia za mmarekani zinazoitwa fiat currency hazina thamani yoyote tofauti na imani yako wewe Bwana mlaji. Si wasifii ila warabu hua wana uwezo wa kuona mbali na kuthubutu.Kwa nini Bwana Gadafi aliuawa!!??
Uko tayari kuwekeza kwenye long term research au tumekalia porojo ni ngumu sana waafrika kujutegemea sababu wengi wa waafrika wana upeo mdogo hawana long term plan za miaka 20 au 50 ijayo ni ngumu kumuepuka mmarekaniAfrika walipe tu madeni wanayodaiwa sasa na Marekani kisha nchi zote ziache kupokea fedha na misaada toka Marekani. Afrika ianze kufanya biashara kati ya nchi na nchi ndani ya Afrika na nchi nyingine zile za BRICS na nyinginezo.
Afrika ili iendelee ihakikishe teknolojia yoyote toka Marekani haitumiwi Afrika na ile Mikataba ya kiulinzi na Marekani ivunjiliwe mbali na mikataba yote ya kibiashara isitishwe mara moja. Afrika izuie mitumba na bidhaa zinazoweza kupatikana kwingineko mbali na Marekani kuingia Afrika.
Afrika isimame imara dhidi ya Marekani ili ijitegemee!!
Twende Saudia Arabia au Urusi au Iran?.Afrika walipe tu madeni wanayodaiwa sasa na Marekani kisha nchi zote ziache kupokea fedha na misaada toka Marekani. Afrika ianze kufanya biashara kati ya nchi na nchi ndani ya Afrika na nchi nyingine zile za BRICS na nyinginezo.
Afrika ili iendelee ihakikishe teknolojia yoyote toka Marekani haitumiwi Afrika na ile Mikataba ya kiulinzi na Marekani ivunjiliwe mbali na mikataba yote ya kibiashara isitishwe mara moja. Afrika izuie mitumba na bidhaa zinazoweza kupatikana kwingineko mbali na Marekani kuingia Afrika.
Afrika isimame imara dhidi ya Marekani ili ijitegemee!!
Twende taratibu. Libya ilikukwa na kiasi gani cha akiba ya dhahabu!!??Alikuwa anataka kuachana na mfumo wa pesa ya mmarekani alafu atumie sarafu yake ambayo angeiita dinari kwa kutumia reserve yake ya maana ya gold ya wakati ule.
Matumizi ya hizo "Fiat Currencies" yapo kwa dollar ya Marekani tu??hii sababu ndio pia ilimuua hata Sadam hao wote walitamani mafuta yao wayauze kwa gold na sio pesa za karatasi bandia za mmarekani zinazoitwa fiat currency hazina thamani yoyote tofauti na imani yako wewe Bwana mlaji.
Ni kweli kwamba Waarabu wanao uwezo wa kuona mbali. Kuona mbali kwenye mambo gani??Si wasifii ila warabu hua wana uwezo wa kuona mbali.
Inasadikika tatizo letu Afrika hatujiamini kuachana na Marekani. Lakini inasemwa ili tuendelee si lazima tushirikiane na Marekani.Uko tayari kuwekeza kwenye long term research au tumekalia porojo ni ngumu sana waafrika kujutegemea sababu wengi wa waafrika wana upeo mdogo hawana long term plan za miaka 20 au 50 ijayo ni ngumu kumuepuka mmarekani
Angalia report ya CIG watu wanatafuna hela na bado wako ofisini
Pambana kwanza na ufisadi kabla hujafikiria kupambana na marekaniInasadikika tatizo letu Afrika hatujiamini kuachana na Marekani. Lakini inasemwa ili tuendelee si lazima tushirikiane na Marekani.
Umeongea point kwa hali ilivyo ni ngumu sana afrika kuendeleaHata kama mtoa mada ameenda beyond lkn kuishi kwa kutegemea sio akili.
Afterall mikopo hii tunafaidika kidogo mno. Tuishi kulingana na uwezo wetu.
Kuna haja gani ya kununua V8 wakati RAV4 zipo kwa ajili ya mawaziri? Zinatumika miaka 2 wanajiuzia kwa bei ya scrapper ?
Kuna haja gani ya kutanua wizara wakati ziko local goverment zinatosha kuzimamia serkali ngazi za wilaya?.
Tumekuwa wajinga kumpita yule chifu wa msowelo tukiwa ma Phd holder
du we njemba unapenda misaada balaa!!!Mawazo ya mtu mpumbavu
Hao BRICS hawajawahi isaidia Tanzania chochote cha bure tukiondoa TAZARA
Inasadikika tatizo letu Afrika hatujiamini kuachana na Marekani. Lakini inasemwa ili tuendelee si lazima tushirikiane na Marekani.