ndoto ya kimweri
JF-Expert Member
- Jul 14, 2021
- 413
- 979
Wamiliki gani hawawezi kumfuata mtu mmoja pamoja kujiunga kwao 31 Nations dhidi ya Taifa mmoja infact mtu mmoja. Wanaishia kutikisa mikia yao katikati ya miguu.
Mwanaume ni yule anasema mwenyewe na anatenda mwenyewe pasipo kumtegemea mtu mwingine.
Mtu gani kila kukicha anaiba fedha za nchi zingine kwa kisingizio cha vikwazo vya kiuchumi
So hao wote either wawe wakuu wa nchi au waasi, niambie kuna kiongozi gani wa kizungu
Kumbe kizibo hivyo nani wakumkamata MWAMBA?
Africa ya Kusini ilishawahi kukataa kumkamata Al Bashir wa Sudan who is relatively weaker than Putin na ICC haikufanya kitu. Sasa sijui hao wanapata wapi mawazo ya kudhani kwamba SA itamkamata Putin? Wasahau. Wapambane kwanza na hali zao.
Pia hakukua na nchi ya kumkamata rais wa Sudan.Endelea Kushadadia Ujinga
Alienda Rais wa Sudan Africa Kusini na Haikumkamata Je Putin?
Hakuna Nchi ya Kumkamata Putin
Hata Ruto na Uhuru hawakukamatwa bali waliitikia wito.ICC huwa inashtaki mtu binafsi sio nchi
Haijalishì nchi ni mwanachama au la wao Humshitaki awe raia wa nchi mwanachama au la
Putin anashtakiwa yeye kama yeye kwa uhalifu wake sio nchi ya Urusi
Wakeny wakamkamate wenyewe si hatutaki shida. A urusiEndelea Kushadadia Ujinga
Alienda Rais wa Sudan Africa Kusini na Haikumkamata Je Putin?
Hakuna Nchi ya Kumkamata Putin
Kwa hiari na si lazma na ndio mana hakuna adhabu watapewaMataifa yaliyotia saini yanapaswa kumkamata....
WasuthubutuuuuuuUingereza ujerumani na marekani&canada watume inter police na vikosi vingine maalumu kumkamata mbona rahisi tu? Wasimuangushie mzigo SA
Kwani ICJ uliona inatuma vikosi vyake kukamata watu? Always hao niliowataja ndio viherehere na vibaraka wao hutumika kukamataHizo nchi ulizozitaja ndo zimetoa warrant?
Hahahah atakwenda kuangalia kama kweli wanatenda haki 🤣🤣🤣🤣 tena kukagua utendaji wao wa kazi
Ni individual kwa akili zenye double kick 40% ila kwa akili ambazo ziko sawa Putin ni taasisi. Mguseni mnuke.Soma kazi za ICC
Who can be prosecuted before the ICC?
The ICC prosecutes individuals, not groups or States. Any individual who is alleged to have committed crimes within the jurisdiction of the ICC may be brought before the ICC...
Hahahahah hawa watu wakipelekwa ICC basi ntaomba mara moja Putin afike kujibu tuhuma. Ila bila hao marais watatu wa Marekani kukanyaga kwenye korti ya ICC basi wasahau kuhusu kumshika Putin.Ndani ya miaka 23 hawa maraisi wa 3 wa Marekani (Clinton, Bush, Obama) walivamia nchi 9 tofauti duniani na kusababisha vifo vya watu zaidi ya milioni 11 wasio na hatia.
Na hakuna mahali ilisemwa kuwa wao ni war criminals wakashtakiwe ICC
View attachment 2564647
Lazma angeleta kiherehere cha kutuma vikosi kazi vya kusambaratisha utawala huo. Sababu intelijensia ya kupambana na USA hawana ila hawezi leta utoto kwa KGB 🤣🤣🤣Putin na Russia yake ni nguvu kuu Duniani, America wala haimuwezi na ndiyo maana inafanya ushawishi kwa nchi zingine kumuunga mkono, lakini nchi hizi zote zikikaa...
Hahahah anaingia na hakuna kitu kama hicho kitamtokea.Ndio sheria za ICC, asikatize ndani ya taifa lenye mkataba na ICC, kwa kifupi wewe ua watu popote ulipo ila usitie guu kwenye mataifa ya ICC.
UMEMALIZAHahahahah hawa watu wakipelekwa ICC basi ntaomba mara moja Putin afike kujibu tuhuma. Ila bila hao marais watatu wa Marekani kukanyaga kwenye korti ya ICC basi wasahau kuhusu kumshika Putin.