Afrika Kusini: Raia wakataa Mrembo mwenye asili ya Nigeria kuwania Miss South Africa

Afrika Kusini: Raia wakataa Mrembo mwenye asili ya Nigeria kuwania Miss South Africa

Afrika kusini ni mijitu ya hovyo, mibaguzi, ina roho mbaya mnoo, ajichunge wasije wakamoiga na shaba tu.
 
Mashindano ya Urembo yamezua Mjadala mkali wa Ubaguzi baada ya watu Mtandaoni kudai kuwa Mshiriki Chidimma Adetshina (23) ni Mnaigeria, na hivyo kudai hawataki kuwakilishwa na Raia wa Kigeni

Waaandaaji wa Mashindano ya Miss South Africa wamethibitisha kuwa Chidimma ni Raia wa Nchi hiyo na alizaliwa Soweto na kukulia CapeTown Waziri wa Utamaduni wa nchi hiyo Gayton McKenzie, alisema

“Hatuwezi kabisa kuwa na Wanigeria kushiriki katika shindano letu la Miss SA. Nataka kupata ukweli wote kabla ya kutoa maoni lakini tayari inanipa hisia za ajabu,”

Hata hivyo bado Mrembo huyo hajaenguliwa katika Shindano, hali inayoleta hisia zaidi kuhusu iwapo anaweza kuibuka Mshindi kwenye Fainali za Jumamosi ya Agosti 10, 2024

..............

Beauty contest sparks row over who counts as South African

South African Chidimma Adetshina has faced online abuse with people questioning her nationality

When law student Chidimma Adetshina clinched a coveted spot as a Miss South Africa finalist, her triumph unleashed a vicious backlash, unearthing a seam of xenophobia that lies close to the surface for some in the country.

The 23-year-old’s name hints at her connection to Nigeria, but internet detectives wanted to know more and combed through every inch of her life. They found that her father is Nigerian and though her mother is South African, her family had come from neighbouring Mozambique.

"On behalf of South Africans, we don’t recognise her and that name! She better start packing and go home,” raged one commenter on X.
But where is home? Ms Adetshina is South African, as verified by the organisers of the pageant. She has said in interviews that she was born in Soweto - the township next to Johannesburg - and grew up in Cape Town.

However, the “go-home” sentiment, and even harsher attacks, flooded social media. There was also a petition demanding her removal from the high-profile televised competition that amassed more than 14,000 signatures before it was taken down.

The country’s Culture Minister Gayton McKenzie, the leader of the Patriotic Alliance party, which has joined a coalition government and made migration issues a key part of its platform, chimed in.
“We truly cannot have Nigerians compete in our Miss SA competition. I wanna get all facts before I comment but it gives funny vibes already," he said on X.
The issue has touched a nerve in South Africa that goes beyond who will appear on stage at the final next weekend.


Source: BBC
Hawa Waafrika Kusini weusi kiukweli walistahili na wanatakiwa kuwa chini ya Utawala wa Makaburu!
 
Mashindano ya Urembo yamezua Mjadala mkali wa Ubaguzi baada ya watu Mtandaoni kudai kuwa Mshiriki Chidimma Adetshina (23) ni Mnaigeria, na hivyo kudai hawataki kuwakilishwa na Raia wa Kigeni

Waaandaaji wa Mashindano ya Miss South Africa wamethibitisha kuwa Chidimma ni Raia wa Nchi hiyo na alizaliwa Soweto na kukulia CapeTown Waziri wa Utamaduni wa nchi hiyo Gayton McKenzie, alisema

“Hatuwezi kabisa kuwa na Wanigeria kushiriki katika shindano letu la Miss SA. Nataka kupata ukweli wote kabla ya kutoa maoni lakini tayari inanipa hisia za ajabu,”

Hata hivyo bado Mrembo huyo hajaenguliwa katika Shindano, hali inayoleta hisia zaidi kuhusu iwapo anaweza kuibuka Mshindi kwenye Fainali za Jumamosi ya Agosti 10, 2024

..............

Beauty contest sparks row over who counts as South African

South African Chidimma Adetshina has faced online abuse with people questioning her nationality

When law student Chidimma Adetshina clinched a coveted spot as a Miss South Africa finalist, her triumph unleashed a vicious backlash, unearthing a seam of xenophobia that lies close to the surface for some in the country.

The 23-year-old’s name hints at her connection to Nigeria, but internet detectives wanted to know more and combed through every inch of her life. They found that her father is Nigerian and though her mother is South African, her family had come from neighbouring Mozambique.

"On behalf of South Africans, we don’t recognise her and that name! She better start packing and go home,” raged one commenter on X.
But where is home? Ms Adetshina is South African, as verified by the organisers of the pageant. She has said in interviews that she was born in Soweto - the township next to Johannesburg - and grew up in Cape Town.

However, the “go-home” sentiment, and even harsher attacks, flooded social media. There was also a petition demanding her removal from the high-profile televised competition that amassed more than 14,000 signatures before it was taken down.

The country’s Culture Minister Gayton McKenzie, the leader of the Patriotic Alliance party, which has joined a coalition government and made migration issues a key part of its platform, chimed in.
“We truly cannot have Nigerians compete in our Miss SA competition. I wanna get all facts before I comment but it gives funny vibes already," he said on X.
The issue has touched a nerve in South Africa that goes beyond who will appear on stage at the final next weekend.


Source: BBC
Kuna taarifa imetoka kuhusu huyo dada. Inaonekana mama yake alifeki identity yake
 
Ni kweli wanapita. Lakini mtu anavyoingia nchini mwako kiharamu utasemaje anapita tu?
Mkuu Afrika tunawekeana mazingira magumu ya Waafrika kusafiri kwa sababu za kina Carl Peter's wakati wao wanatumia driving licence kutoka Nchi moja na kwe da nyingine nimefurahi kuona Botswana,Zambia na Namibi wamefuta matumizi ya Passport kwa raia wao wakitaka kwenda kwenye hizo Nchi vitu navyoongea hapa ni vikubwa inatakiwa uwe mbele ya muda sio nyuma ya muda..
 
Leo huyo mrembo maarufu ktk insta kwa jina la chichi-vanesa kajitoa ktk kinyang'anyiro akihofia usalama wa familia yake
 
Mimi siwalaumu sana wadizonga WOTE TUMEONA MOVIE YA SARAPHINA MANDELA KAKAA JELA MIAKA MINGI SANA WANAHAKI KUCHUKIA WATU AMABAO SIO WADIZONGA
 
Back
Top Bottom