gemmanuel265
JF-Expert Member
- Feb 16, 2016
- 8,485
- 18,048
Hahahaha hiki nacho kitakuwa kituko cha karne!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wameamua kumpachika pachika tu ili kuendeleza kiki zakeMbona maelezo ya tuzo ya JPM hayamo kwenye content yako.
Wewe peleka huo uharo wako huko Lumumba nzi wakijani wewMagufuli ni chaguo la Mungu wasiopenda wahame nchi maana bado ana miaka 7 ya kuingoza nchi hii
Big time mkuuHawa waafrika Kusini wamemdhalilisha Shujaa marehemu Mandela. Tuzo anapewa mpaka Nkuruzinza!
![]()
Johannesburg, Afrika Kusini. Rais John Magufuli ametunukiwa tuzo ya amani ya Mandela (Mandela Peace Prize) kwa kuendeleza shughuli ya kulinda amani na kupigania usawa wa kijamii.
Kamati ya tuzo za Mandela kwa mwaka 2017 ilipokea maombi ya wawania tuzo 4,956. Wengine waliotunukiwa ni Rais Uhuru Kenyatta aliyeshinda tuzo ya Mandela ya Demokrasia kutokana na kuendeleza demokrasia nchini Kenya.
Pia, Mahakama ya Juu nchini Kenya na Jeshi la Zimbabwe zimetunukiwa tuzo ya ujasiri (Mandela Boldness) kwa kufanya uamuzi kwa kijasiri kwa masilahi ya mataifa yao.
Rais wa Taasisi ya Mandela, Dk Paul Kananura amesema Rais Kenyatta ametunukiwa kwa kudhihirisha demokrasia kwa kukubali uamuzi wa Mahakama ya Juu hivyo kuheshimu kanuni za utengano wa mamlaka. Mahakama ya Juu ya Kenya ilibatilisha matokeo ya urais katika uchaguzi wa Agosti 8,2017 yaliyompa ushindi Kenyatta na kuamuru uchaguzi kurudiwa ambao alishiriki na kuibuka mshindi.
"Hii inaonyesha kuwa Rais Kenyatta amechangia katika uimarishaji wa demokrasia Kenya,” amesema Dk Kananura. Rais wa Chad, Idriss Itno amepata tuzo ya Mandela ya Ulinzi (Mandela Security) kutokana na sera ya kupambana na ugaidi katika maeneo ya Sahel na Ziwa Chad. Mwingine ni Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza aliyetuzwa tuzo ya ujasiri (Mandela Courage).
Mbona wengine eneo hilo hilo hawakuvunjiwa?I wish ingekuwa kweli.Wanaovunjiwa nyumba ndiyo hao wanyonge,ajabu na kweli
Kamati ya Tuzo za Mandela, Afrika Kusini imempa Rais @MagufuliJP Tuzo ya Amani ya Mandela 2017 (Mandela Peace Prize 2017) kutambua jitihada zake katika kulinda amani na kupigania usawa wa kijamii.
Kamati hiyo ilipokea maombi takribani 5000 kuwania tuzo hizo.
Source [HASHTAG]#MillardAyoUPDATES[/HASHTAG].
![]()
Mbona wengine eneo hilo hilo hawakuvunjiwa?